Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri nikutakie[emoji13]Daaah mchina ameingia kwenye soko la ndege sasa kila mtu atakua na ndege yake
Kama mabas ya kichina lazima ninunue yangu
Sisi ndio kwanza tupo kwenye kuomba msaada kwa ajili ujenzi wa matundu ya vyoo.View attachment 2311699Julai 31 ndege ya abiria aina ya C919 iliyotengenezwa na China ilifanya safari ya majaribio kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing Daxing kwenda mji wa Guilin, ili kupata hati itakayotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya China.
Mkuu,ndege za Boeing 737 MAX killed more than 500 abiria - mbona hilo watu hawalisemi?Kitu kizuri ni kuwa kabla ya kupanda unajua ni ndege gani.
Ndio hatari ya ndege mpya.Mkuu,ndege za Boeing 737 MAX killed more than 500 abiria - mbona hilo watu hawalisemi?
Swali zuri kabisa, Wachina hawaaminiki ktk ubora wa vituUSAlama wa hizi ndege ukoje?
Wanazo ila kwa hii C919 ndo inajaribiwaSijaelewa Ina maana miaka yote hii China walikuwa hawajawahi kutengeneza ndege.
% ngapi ya accossories na parts zimetengenezwa Uchina kwa 100%?View attachment 2311699Julai 31 ndege ya abiria aina ya C919 iliyotengenezwa na China ilifanya safari ya majaribio kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing Daxing kwenda mji wa Guilin, ili kupata hati itakayotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya China.
MADE IN CHINAView attachment 2311699Julai 31 ndege ya abiria aina ya C919 iliyotengenezwa na China ilifanya safari ya majaribio kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing Daxing kwenda mji wa Guilin, ili kupata hati itakayotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya China.
Mkuu, mbona wamejieleza vizuri tu kwamba ndege bado hipo kwenye majaribio - it takes time ndege za abiria kupewa kibali cha kubeba abiria ndani ya Uchina yenyewe pia na kibali cha kimataifa - nina hakika Uchina ikiomba kibali cha kimataifa watawekewa mikwara mingi sio kwamba ndege haikidhi vigezo vya usalama kwa abiria bali ni hujuma za Boeing na Airbus hawataki ushindani wa kibiashara, watazisema sema vibaya ndege za Wachina na Urusi - ndio walivyo, kwa bahati mbaya wapo baadhi ya waswahili wenye perception hasi kuhusu everything Chinese kama walivyo wenzetu wa magharibi!!Kila baada ya miezi mitatu naiona habari ya namna hii katika miaka ya karibuni lakini Xi Jinping anaendelea kutumia Boeing na Airbus.
Pesa ya kupanda treni ya mwendo Kasi huna iyoo ya ndege unapata wapiMADE IN CHINA
Hata walete bure siipandi ng'oo
Bidhaa za china zinazokuja Africa huwa nina ''trust issues'' nazo
Mabasi unayopanda kila Leo unadhani yametengenezwa wapi?MADE IN CHINA
Hata walete bure siipandi ng'oo
Bidhaa za china zinazokuja Africa huwa nina ''trust issues'' nazo