Hasa vinavyokuja huku Afrika.Swali zuri kabisa, Wachina hawaaminiki ktk ubora wa vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa vinavyokuja huku Afrika.Swali zuri kabisa, Wachina hawaaminiki ktk ubora wa vitu
Ndio chiefSijaelewa Ina maana miaka yote hii China walikuwa hawajawahi kutengeneza ndege.
Kitu cha kwanza Boeing na Airbus wao kazi yao ni kujenga/fabricate airframe/fuselage basi, vitu vingine kama engine zinaundwa na makampuni mengine kabisa% ngapi ya accossories na parts zimetengenezwa Uchina kwa 100%?
Ni sawa. Nahofia usikute hawa Wachina nao wanategemea 90% ya accessories toka West. Siku wakikorofishana kidogo West wanastopisha supply na C9 zinashindwa kuruka.Kitu cha kwanza Boeing na Airbus wao kazi yao ni kujenga/fabricate airframe/fuselage basi, vitu vingine kama engine zinaundwa na makampuni mengine kabisa
Hongera kwa kujua kipato changu kuwa siwezi kupanda ndege😆Pesa ya kupanda treni ya mwendo Kasi huna iyoo ya ndege unapata wapi
TOFAUTISHA MABASI NA NDEGEMabasi unayopanda kila Leo unadhani yametengenezwa wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaah mchina ameingia kwenye soko la ndege sasa kila mtu atakua na ndege yake
Kama mabas ya kichina lazima ninunue yangu
Mimi nimerejea kauli Yako kuwa huna Imani na bidhaa za China!TOFAUTISHA MABASI NA NDEGE
Halafu sio kila mabasi yametengenezwa Uchina
NDIO SINA IMANI NAZO KWA 100%Mimi nimerejea kauli Yako kuwa huna Imani na bidhaa za China!
Hivi zile
Kwahiyo hupandi mabasi ya China,hutumii simu za China?Hupiti kwenye madaraja ya wachina?Barabara? Toothpick?Kalamu?Viti hupandi treni za wachina?Hupandi pikipiki za wachina?Bajaji?NDIO SINA IMANI NAZO KWA 100%
Wachina "wametukamata", hilo halina ubishi.Kwahiyo hupandi mabasi ya China,hutumii simu za China?Hupiti kwenye madaraja ya wachina?Barabara? Toothpick?Kalamu?Viti hupandi treni za wachina?Hupandi pikipiki za wachina?Bajaji?
Ukiangalia mzunguko wa maisha,kila siku iendayo Kwa Mungu,utakuta lazima utumie bidhaa za China!
relax, dont panic...sijasema situmii bidhaa zao kabisa kabisaKwahiyo hupandi mabasi ya China,hutumii simu za China?Hupiti kwenye madaraja ya wachina?Barabara? Toothpick?Kalamu?Viti hupandi treni za wachina?Hupandi pikipiki za wachina?Bajaji?
Ukiangalia mzunguko wa maisha,kila siku iendayo Kwa Mungu,utakuta lazima utumie bidhaa za China!
COMAC ipo tangu 2008 wame invest na wana registered capital of $2,7bUSAlama wa hizi ndege ukoje?
Naona Rais wa China anatumia boeing.COMAC ipo tangu 2008 wame invest na wana registered capital of $2,7b
Wako mbali sana hao ingawa bado wanahitaji parts kutoka nje kama 40%
Alafu wakitukta manyani tunakasirika🤣🤣🤣🤣 yaani kweli nchiniliyobarikiwa rasili mali zote hizi inaomba msaada wa kuchimba vyoo...so sad.Sisi ndio kwanza tupo kwenye kuomba msaada kwa ajili ujenzi wa matundu ya vyoo.
Tena huku ndio utakuta itauzwa kweli kweli...Hii ndege itapata taabu sana kuuzwa soko la Africa
Lazima atumie ila hakuna mahali anakataliwa au kulazimishwa atumie cha kwaoNaona Rais wa China anatumia boeing.