Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

Mkuu unajaribu kuweka unalolijua kwa usilolijua. Hivi runway ina characteristics zilizo uniform? Najiuliza tu. Utuwaji wa ndege, contact point ya tairi na runway ni sawa kwa tairi zote? Najiuliza tena. Breaking? Tairi umeambiwa ziko salama na ndio maana pilot hakuweka comment kuwa tairi ni mbovu kwe tech log. Utaendelea kuziona.
Naomba picha ya ndege za wenzetu
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Huuu ndo ubunifu wa kupongezwa. Hii ndege ndio inatakiwa iwe inatua JF Kennedy International Airport, NY. Ili kuwaonyesha kuwa na sisi tunaweza
 
Kuna habari nilisoma emirates kudai fidia airbus kutokana na ndege kupata tatizo la rangi kubanduka kwenye fuselage, pamoja na airbus kudai hiyo ni minor breach ambayo haiathiri usalama wa ndege ishu ilipelekwa mahakamani ikidaiwa fidia ya dola milioni 600 kama sijakosea.......kwa hiyo ndugu mteteaji hili nalo unalizungumziaje, je, huoni kwamba situation inayoweza kuleta tu hofu au mashaka kwa abiria tayari inakuwa ni doa kwenye safety standards?
Sio kama umekosea ni sahihi kabisa kumbukumbu zako. Tena Emirates walisitisha order ya ndege nyingine type hiyohiyo ya Airbus. Hiyo ilikuwa rangi imebanduka na wanajua haina madhara kufanya usitishe safari za ndege na wataalam walipopima mwanzoni walisema haina madhara. Ila Emirates hawakuwa na uhakika kama hakuna kasoro kwenye body mfano mfumo wa kuzuia radi.

Sasa huyu mchumiatumbo yupo analazimisha tuamini tairi lililolika ni salama eti kwa kutumia procedures sijui specifications. Anabishana na Goodyear ambao ndio one of the best katika utengenezaji wa matairi [emoji116]

... When inspecting aircraft tires, the first thing to check (after checking the tire pressure) is the amount of remaining tread to avoid excessive wear and possible unsafe conditions. According to Larry Rapsard, product support manager for The Goodyear Tire & Rubber Company (NYSE: GT), "Aircraft tires should be removed when the tread is worn to the base of any groove at any spot, or to the minimum depth stated by the aircraft manufacturer."

Au hivi [emoji116]
IMG_20220424_124810.jpg
 
Usingeweka picha nisingeamini maana kati ya usafiri unaohitaji umakini basi ni ndege, ila kwa hapo niseme tuu kazi iendelee
 
@infopaedi
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855

Infopaedia hongera kwa uzalendo wako,wahusika waone aibu,iko siku hizi ndege zitaua ndugu zetu kwa uzembe!!

Enzi za Magufuli ungekua rupango,zama za Mama kiguu na njia watakaa kimya tu!!!
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Huu sasa ndio uzalendo. Hongera sana na pongezi nyingi zikufikie huko ulipo.
Hapa umetenda jambo la kijasiri sana la mpuliza filimbi kabla maafa hayajatokea.
Mungu akubariki sana.
Wahusika wachukuliwe hatua,maana unaweza kukuta hapo pesa za tairi mpya zilishapigwa siku nyingi.
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Wakulungwa,huu ni uchochezi!!tafadhari ripoti Kituo chochote Cha polisi.
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
watakuja hapa wenyewe watachukuwa hatua.
 
Stori kama stori uwe ndani uone tairi hili ajabu jingine la dunia hongera kupanda nawe kunguru
Mkuu kuna ajabu gani?, kumbuka kwa aina hii ya ndege tairi za nyuma haziko kwenye belly, bali ziko attached kwenye wings. So, the moment matairi yanashushwa huwa yanaonekana vizuri sana.
 
Duh hii noma kweli, hivi ATCL wanaelewa madhara ya ndege kuwa na tairi kipara kweli?
Wanaelewa u seriosness wa jambo kama hili au wao ni bora liende tu..!!
 
Back
Top Bottom