Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Cha ajabu watakushambulia ati unawaharibia biashara
 
Aisee hiyo ni hatari sana sana sijui wahusika wa usalama wa ndege wanafanya kazi gani huko viwanja vya ndege na ukaguzi zero namna hiyo.


hayo malori yenye matairi mengi tena ya kwenye trailer hauwezi kukuta yanatembelea tairi iliyotoa waya/nyuzi namna hiyo.
Wakuwatumbua alishatangulia mbele za haki
 
Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.
CAG hakupita huo mtaa!? Nadhani amejifunza jambo, matumizi yanaonyesha tyre zinanunuliwa kwenye vitabu kwenye uhalisia vipara
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Lipa Kodi tununue Tairi mpya
 
Hili ni bomb [emoji378] linalosubiri kulipuka
Asante kwa taarifa
Nashukuru Mungu juzi wageni walifika salama
Sasa ni mwendo wa Bus tu
 
Nilikatiwa na kampuni kiongozi. Na ilikuwa round trip ya MbyDarMwz na kurudi MwzDarMby. Nakumbuka kwenye tiketi kulikuwa na bei ila siikumbuki tena. Hata nikikuchekia hutapata reflection ya one trip.
Unapata, si zinakuwa Identified mkuu?
Au wewe una ticket za aina gani!!
 
Hilo tairi halina madhara licha ya nyuzi kuchungulia.
Halina upepo ni mpira tu mwanzo mwisho lipasuke vipi?
Halafu hawa watalii wamerudi?🤔
Unaongea kitu ambacho hukijui. Matairi yote yandege lazima yawe ya kujazwa upepo
 
Nimesema nilipatwa na hofu, , inasaidia nini kudangaya ?
Kuendeleza story ndege ilipofika mwanza ilifanya refuel , nilikuwa. Nimekaa hapo dirishani nikamwona rubani akiiangalia hiyo tairi, ninkama naye alikuwa ana wasiwasi nayo pia , sikuishia hapo tu nikamuita na mmoja wa wahudumu na nikamueleza concern yamgu kwamba i was worried with the tyre condition nikahakikishiwa kuwa itakuwa salama na kweli tulifika salama Dar .

Mkuu kwenye usafiri wa ndege kila mtu ni watchdog, usikae kinya kama umeona hitilafu yoyote maana wahusika wanaweza kuwa hawajaiona .
sawa but sikudhan kama ulipaswa kuwa na hofu
 
Hatari sana.. ukiangalia kipindi cha air crash investigation NGE tairi zimesababisha ajali nyingi haswa ipasuke wakati wa kuruka halafu landing gear ikirudi ndani inaleta moto kwenye engine.. au hata wakati wa kutua ikipasuka ni shida
 
Kwan atcl Kuna ndege ya rangi iyo kwel apa tz ,au mm ndio c elewi,
 
Jana nimesafiri na ATCL ndege number TC 106 Bomberdier toka Dar kuja Mbeya. Hii ndege tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa. Hii ni hatari sana.

Nilikaa dirishani mkabala na hizi tairi. Jana tulitoka Dar na mvua, na mipira ikiloa si rahisi kuona jinsi mpira ulivyolika. Tunafika, mipira imekauka. Ilivyotoa tairi nikaona jinsi ilivyoisha. Nilikosa amani mpaka ilipo simama.

Hata kama ni tubeless, nadhani kuna kiwango kinacho ruhusiwa cha tairi kulika.

Kwa namna zilivyo hapo, hata uwiano wa kubeba mzigo wakati wa kutua ni tofauti.

Sababu hiyo tairi isiyolika sana ndio inaanza kugusa chini na kubebe mzigo mkubwa.

Hebu fikiria ndege imetua na hiyo tairi inapiga mzinga wakati iko kwenye speed. Au iko kwente speed ya kuruka halafu ndiyo ina piga mzinga. ATCL mtatuuwa kizembe.

View attachment 2197854

View attachment 2197855
Ungecheki na injini pia!
Pengine oili ni chafu, mambo kibao!
 
Nimesema nilipatwa na hofu, , inasaidia nini kudangaya ?
Kuendeleza story ndege ilipofika mwanza ilifanya refuel , nilikuwa. Nimekaa hapo dirishani nikamwona rubani akiiangalia hiyo tairi, ninkama naye alikuwa ana wasiwasi nayo pia , sikuishia hapo tu nikamuita na mmoja wa wahudumu na nikamueleza concern yamgu kwamba i was worried with the tyre condition nikahakikishiwa kuwa itakuwa salama na kweli tulifika salama Dar .

Mkuu kwenye usafiri wa ndege kila mtu ni watchdog, usikae kinya kama umeona hitilafu yoyote maana wahusika wanaweza kuwa hawajaiona .
Nimependa hiyo ya kila mtu ni 'watchdog'. Na ndio maana kwenye sheria za usafiri wa anga. Wakati wa kupaa na kutua ndege, ni lazima madirisha yote yawe wazi. Wanasema moja ya sababu ni ili mtu aweze kuona hitilafu yoyote ionekanayo kwa macho, kama vile moto, cheche, moshi, nk. Au tairi kipara......hahahahaaaaa!!! Jamani tusiwe tunanyamazia hivi vitu.
 
Tairi kama hilo ni la kutengenezea Katambuga
 
Back
Top Bottom