Ndege ya Kenya Airways yatua Dar kwa dharura baada ya injini kuwaka moto!

Ndege ya Kenya Airways yatua Dar kwa dharura baada ya injini kuwaka moto!

Hata hujui unachoongelea. Dreamliner ni ndogo chakavu na nzee? Sometimes kama hujui unyamaze ili kuficha ujuha wako
Hii ni moja wapo ya zile ndege kenya walinyang'anya Tz wakati wakuvujika kwa muungano wa EAC 1977.. Bado li ndege hilo lipo kwa mkopo
 
Bricks and mortar engineer, ndiyo wewe ulikuwa ukiuliza mbona waTanzania hawakuwemo kwenye ile ndege iliyanguka Ethiopia.
Teh teh tihiii
Ngoja nikuache.
Tukauliana nawe wapi? Ng'ombe kama wewe niulizane nini nayo?
 
Hizo jet engine zinasemwa ndiyo za kisasa ila hazina usalama hata kidogo, usalama zaidi ni pangaboy tatizo ndiyo hivyo hazina kasi kuliko hizi za kisasa.

Engine hizo kitu kikipenya na kuingia humo ni tatizo
 
PLANE.jpg

A Kenya Airways plane was forced to make an emergency landing in Dar es Salaam after one of its engines caught fire mid-air, thus avoiding a disaster.

All the 142 passengers and 10 crew members landed safely but the near-disaster has exposed the laxity at the national airline.

For instance, the duty manager at KQ’s Operations Control Centre, who should have assisted the crew in the event of such an emergency, did not have the plane’s flight plan.

PRECAUTION

In fact, he did not know the location of the plane, registration number 5Y-KZD, when he advised the pilot to return to the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).

KQ downplayed the February 12 incident involving a Boeing 787 Dreamliner en route to Johannesburg, South Africa, saying the plane’s flight deck only showed that there was an issue that made the pilots take precaution.

“The crew shut down the engine as per procedure and diverted to Dar es Salaam. Our engineers travelled to Dar es Salaam to assess the engine and determined that it needed to be changed,” CEO Sebastian Mikosz told the Nation at that time.

However, an internal investigative report by the airline’s safety office, a copy of which the Nation has obtained, says that the left engine caught fire, forcing the pilots to shut it down and ask for an emergency landing.

CLIMBING OUT

The plane had arrived in Nairobi from New York, US, at 7am as flight KQ 003. It was then deployed to OR-Tambo Airport at 1:05pm as flight KQ 762.

Nahisi hapo ndio walikosea yaan dude limetoka state ...safari ya masaa 15 inapumzika masaa 5 then wana liamsha kwenda SA ...hapo nahisi walichemka
 
Kwa hiyo mleta mada February 12 ulikuwa wapi, mpaka uilete hapa hii habari April 9??

Lengo ni lipi hasa?
 
Waacheni jamani ni majirani zetu hao,Jirani huyu angekuwa mkorofi kwetu tungeliibinafsisha iyo ndege,na hivi tulivyokuwa na uchu kwenye Atcl yetu basi kesho tungeliipangia routi ya Kilimanjaro na Mwanza
 
Nahisi hapo ndio walikosea yaan dude limetoka state ...safari ya masaa 15 inapumzika masaa 5 then wana liamsha kwenda SA ...hapo nahisi walichemka

Mkulu hilo dude ni uchakavu tu. Maana engine zake huwa zinaweza zikawa on 24/7.
Ndiyo zinazotumika kufua umeme.
 
Naanza kuogopa kupanda ndege kwa mfululizo wa hizi hitilafu
Mwaka jana tulikuwa tunatoka Hong kong to Manila kwa Cebu pacificair kilichotokea sitasahau

Sijui nini ndege ikawa inafail kupaa moshi mwingi ikaanza nilihisi ndo end of my life
 
Usipande KQ kapande ET ...... Angalau
Pure jealousy at play. Ethiopian aeroplane still making headlines for 'murder', Kenyan one just had an emergency landing. How Kenyan is more dangerous than the latter basing on this comparison is a wonder.
 
Hizo jet engine zinasemwa ndiyo za kisasa ila hazina usalama hata kidogo, usalama zaidi ni pangaboy tatizo ndiyo hivyo hazina kasi kuliko hizi za kisasa.

Engine hizo kitu kikipenya na kuingia humo ni tatizo
Kamwe hawatakubali.kurudi.kule watajifanya kuboresha tuu!! Maana biashara ya jet engine ni kubwa kuliko pangaboi
 
Na lile li F35A la Japan limepotelea baharini wanalitafuta...US anapata tabu sana
 
Back
Top Bottom