Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,962
- 7,856
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni moja wapo ya zile ndege kenya walinyang'anya Tz wakati wakuvujika kwa muungano wa EAC 1977.. Bado li ndege hilo lipo kwa mkopoHata hujui unachoongelea. Dreamliner ni ndogo chakavu na nzee? Sometimes kama hujui unyamaze ili kuficha ujuha wako
Tukauliana nawe wapi? Ng'ombe kama wewe niulizane nini nayo?Bricks and mortar engineer, ndiyo wewe ulikuwa ukiuliza mbona waTanzania hawakuwemo kwenye ile ndege iliyanguka Ethiopia.
Teh teh tihiii
Ngoja nikuache.
Kwa jet engine si kitu kigeni, hizo engine zikiingiliwa na kitu chochote hata kunguru inalipukaEgine kuwaka moto ni jambo la kawaida?
Usipande KQ kapande ET ...... Angalaudaaaah nina safari wa US ila roho inasita kweli jamani
![]()
A Kenya Airways plane was forced to make an emergency landing in Dar es Salaam after one of its engines caught fire mid-air, thus avoiding a disaster.
All the 142 passengers and 10 crew members landed safely but the near-disaster has exposed the laxity at the national airline.
For instance, the duty manager at KQ’s Operations Control Centre, who should have assisted the crew in the event of such an emergency, did not have the plane’s flight plan.
PRECAUTION
In fact, he did not know the location of the plane, registration number 5Y-KZD, when he advised the pilot to return to the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
KQ downplayed the February 12 incident involving a Boeing 787 Dreamliner en route to Johannesburg, South Africa, saying the plane’s flight deck only showed that there was an issue that made the pilots take precaution.
“The crew shut down the engine as per procedure and diverted to Dar es Salaam. Our engineers travelled to Dar es Salaam to assess the engine and determined that it needed to be changed,” CEO Sebastian Mikosz told the Nation at that time.
However, an internal investigative report by the airline’s safety office, a copy of which the Nation has obtained, says that the left engine caught fire, forcing the pilots to shut it down and ask for an emergency landing.
CLIMBING OUT
The plane had arrived in Nairobi from New York, US, at 7am as flight KQ 003. It was then deployed to OR-Tambo Airport at 1:05pm as flight KQ 762.
Dege lenu lina waka moto unazungumzia mambo ya mumbai ..yatakushindaaa subiri kuna nyingine ina kuja soonSafari za Mumbai tuliambiwa zinaanza April ama bado tuko March? joto la jiwe karibia na failed state.
Tukauliana nawe wapi? Ng'ombe kama wewe niulizane nini nayo?
Nahisi hapo ndio walikosea yaan dude limetoka state ...safari ya masaa 15 inapumzika masaa 5 then wana liamsha kwenda SA ...hapo nahisi walichemka
Mwaka jana tulikuwa tunatoka Hong kong to Manila kwa Cebu pacificair kilichotokea sitasahauNaanza kuogopa kupanda ndege kwa mfululizo wa hizi hitilafu
Bwana wee acha tuAisee ingekua ni ile kitu ya 'dilimu laina' ingekua hapatoshi hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkulu hilo dude ni uchakavu tu. Maana engine zake huwa zinaweza zikawa on 24/7.
Ndiyo zinazotumika kufua umeme.
Pure jealousy at play. Ethiopian aeroplane still making headlines for 'murder', Kenyan one just had an emergency landing. How Kenyan is more dangerous than the latter basing on this comparison is a wonder.Usipande KQ kapande ET ...... Angalau
Erick anakupa Hi
Kamwe hawatakubali.kurudi.kule watajifanya kuboresha tuu!! Maana biashara ya jet engine ni kubwa kuliko pangaboiHizo jet engine zinasemwa ndiyo za kisasa ila hazina usalama hata kidogo, usalama zaidi ni pangaboy tatizo ndiyo hivyo hazina kasi kuliko hizi za kisasa.
Engine hizo kitu kikipenya na kuingia humo ni tatizo