Ndege ya Kwanza kutengenezwa Tanzania yazinduliwa

Ndege ya Kwanza kutengenezwa Tanzania yazinduliwa

Vifaa vyote vya ndege hiyo vililetwa kwenye maboksi vikaunganishwa (assembled) nchini na wajinga wa CCM tayari wanasema Tanzania imetengeneza ndege! Kwanini nyie CCM msiwasaidie wale waliotengeneza helicopter pale Arusha Technical College miaka zaidi ya 5 iliyopita ili wafikie viwango vya kimataifa?
umeongea point mkuu hio sana
 
1697099290986.png
 
Back
Top Bottom