nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Ya kwako og Iko wapi?
Kwa umri wangu ni aibu kuchezea midoli.Ya kwako og Iko wapi?
Nina masaa 32800 angani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kwako og Iko wapi?
Kwa umri wangu ni aibu kuchezea midoli.Ya kwako og Iko wapi?
Watamuuzia nani?Ni jambo zuri kuanza na assembly plant...
Next step iwe kuwa na kiwanda zalishi cha vifaa baadhi...
South africa wanatengeneza ndege/helicopter za kijeshi kabisa mkuu,Ni hatua kubwa,wapi kwingine Afrika Wana assemble hizo ndege zaidi ya Tanzania?
Kitaambo watu walishafanya hayo bondeniNi hatua kubwa,wapi kwingine Afrika Wana assemble hizo ndege zaidi ya Tanzania?
Naam huyu ndo wakwetu
Tzn sio bondeni.Ni hatua kubwaKitaambo watu walishafanya hayo bondeni
South Africa has no match in Africa Kuna Wazungu kule.South africa wanatengeneza ndege/helicopter za kijeshi kabisa mkuu,
Huyo hajui maana ya kutengenezea na kuunganisha. Yeye kuunganisha ndio kutengeneza.Twrnde taratibu. Hapa unamaanisha kuanzia injini imepikwa hapo kiwandani ikapozwa na kuwa injini kamili hapohapo tanzani? Au wameunganisha vifaa ambavyo tayari vilisha pikwa kwenye viwanda vya huko nje?
We jamaa huijui hii nchi tulishakuwa na nyumbu scania valmet leo hata general Tyre hamna.Tzn sio bondeni.Ni hatua kubwa
Kina nani hao? Au adriz na genge lake?Watu walianzia huko Sasa ni kitu piruuu
Je hela ya kuwalipa hao marubani watatoa wapi? Ama wametafuta wahisani na wafadhili kuwalipa?Nadharia na maneno toka Serikalini vimekuwa vingi kuliko wanavyohitaji Watanzania kwenye grassroot
Ku asseble ndio kutengeneza!?
🔨🔨🔨🔨Hakuna sababu ya kuwajibu wapumbavu
umeongea point mkuu hio sanaVifaa vyote vya ndege hiyo vililetwa kwenye maboksi vikaunganishwa (assembled) nchini na wajinga wa CCM tayari wanasema Tanzania imetengeneza ndege! Kwanini nyie CCM msiwasaidie wale waliotengeneza helicopter pale Arusha Technical College miaka zaidi ya 5 iliyopita ili wafikie viwango vya kimataifa?
Watamuuzia nani?