Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Gharama za maisha zipo juu sana wanaonufaika ni Wana siasa tu.
 
Ndege Mpya ya Mizigo ya Air Tanzania hii Hapa

FrLTAV3WIAMLW7-


Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya kutengeneza ndege Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

Miaka miwili ya Samia ni neema Tupu
Kuna mambo mengi watanzania hamyaelewi.
 
Ndege Mpya ya Mizigo ya Air Tanzania hii Hapa

FrLTAV3WIAMLW7-


Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya kutengeneza ndege Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

Miaka miwili ya Samia ni neema Tupu
Madeni wamelipa lakini? Au ndiyo wananunua ndege zinaishia kukamatwa tu?
 
Ndege Mpya ya Mizigo ya Air Tanzania hii Hapa

FrLTAV3WIAMLW7-


Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya kutengeneza ndege Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

Miaka miwili ya Samia ni neema Tupu
Nyabukika hebu toa ufafanuz zaid juu ya madai yako ili ueleweke zaid humu!!
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Huku anaongeza ndege huku wahuni wako njiani kuuza ndege moja kwa kisingizio cha deni la mzungu mzoefu kuibia hela tanzania. Inaelekea Jpm alimthibiti huyu tapeli anayeamini ni lazima apore mabilioni ya hela kutoka tanzania
 
Tunahitaji hizi ndege walau 4 kwa kuanzia.

Kuwa na exit ways zetu zitasaidia sana kufikia masoko bila kupitapita kwa majirani.

Hapa lazima export ikue sana.
 
Mbona hii ndege ilikuwa imetolewa tenda enzi za jpm mama alishawambia hataki kubambikizwa sifa ambazo sio zake.
Nakumbuka siku ya madhimisho duniani mboye alimwambia mama Chawa sio watu wazuri kwa sababu hizhzi
 
Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Achana na hizi fikra. ATC ni ya nchi. Mipango inaweza kuwepo awamu ya pili ikatekelezwa awamu ya sita. Uongozi wa nchi si mtu. JPM alikuwa Rai wa nchi si John. Nadhani umenielewa. 🙏🙏🙏
 
Achana na hizi fikra. ATC ni ya nchi. Mipango inaweza kuwepo awamu ya pili ikatekelezwa awamu ya sita. Uongozi wa nchi si mtu. JPM alikuwa Rai wa nchi si John. Nadhani umenielewa. 🙏🙏🙏
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Hivi ile iliyokuwa inabeba nyama ya mbuzi iko wqpi ?
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Si nasikia mengine yamelala yoo sasa mnaongezea mengine ya nini wakati uwezo wa kuyatunza hamna
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Tatizo hawajui bei ya soko wataaanza kuweka bei zisizo na uhalisia
 
Back
Top Bottom