Ndege ya precious Air yashindwa kutua Dodoma

Ndege ya precious Air yashindwa kutua Dodoma

Inakuwaje ishindwe kutua Dodoma lakini ikaja kutua Dar? Logic ni nini kurudi dar na kutua? why isitue huko huko dom?
Breki za ndege ni injini zake, injini moja inapofail ni kuwa uwezo wa kusimama haraka unapungua...walirudi Dar kwakuwa uwanja ni mrefu hivyo inawahi kusimama kabla hamjafika ukutani....ingetua Dom ingesimamia Kisasa!!!
 
Ndege ina uwezo wa kuendelea na safari iwapo engine moja itapata tatizo, na inaweza kutua kwa kutumia engine moja. Kwanini haikutua Dodoma na hio engine moja tungoje wataalam. Inawezekana uwanja wa Dodoma hauko well equipped for emergency landing kuliko Dar. Im just thinking.
Kwa waliokuwa uwanjani wanasema Ndege ilirudi uwanjani Dar baada ya kama Lisaa na dkk 10 (return) inamaana ilitembea kama dkk 35 hivi ikarudi Dar sawa na makadirio ya kms 100 hivi kutoka Dar. Ingekuwa ni gari tungesema lilikuwa hapo Chalinze; hivyo sio kweli kwamba ilikaribia Dodoma. Kwa maana hiyo Dar ndipo palikuwa karibu sana ukilinganisha na kwenda Dodoma
 
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.

Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.

PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura

Credit: ITV
Yani engine inazima at landing approach afu pilot anaabort afu anageuza anarudi alipotoka? [emoji23]... sounds like bs [emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa waliokuwa uwanjani wanasema Ndege ilirudi uwanjani Dar baada ya kama Lisaa na dkk 10 (return) inamaana ilitembea kama dkk 35 hivi ikarudi Dar sawa na makadirio ya kms 100 hivi kutoka Dar. Ingekuwa ni gari tungesema lilikuwa hapo Chalinze; hivyo sio kweli kwamba ilikaribia Dodoma. Kwa maana hiyo Dar ndipo palikuwa karibu sana ukilinganisha na kwenda Dodoma
Haya maelezo yanamake sense, ningekua moderator ningeiweka hii comment juu kabisa iwasaidie watu kuelewa.

Bottom line ni ndege haikufika dodoma. Mahali ilipokua ilikua ni karibu zaidi kurudi dar kuliko kwenda dodoma ikiwa na engine moja, so ikageuza na kurudi.

Huyu aliyeandika imeshindwa kutua dodoma na kurudi dar ametuchanganya sana.
 
Hitilafu kidg ndege mpaka irudi jkni bas usafiri huu kwa tz ni majanga
Wajitahidi waboreshe viwanja
 
Breki za ndege ni injini zake, injini moja inapofail ni kuwa uwezo wa kusimama haraka unapungua...walirudi Dar kwakuwa uwanja ni mrefu hivyo inawahi kusimama kabla hamjafika ukutani....ingetua Dom ingesimamia Kisasa!!!
Hapana asee... ATR (ambayo ndio ndege precision wanatumia) hazitumiag reverse thrust muda wa kutua. Brake za ndege hua zipo kwenye matair kama kawaida na pia kwenye mabawa, zinaitwa flaps! Ndege nyingi kubwa zina reverse thrust,...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom