Masalakulangwasa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 354
- 436
Kila mtu atakufa kwa style yake, acha kuharibu bznez za watu na hivi vyanzo vyako feki vya habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Breki za ndege ni injini zake, injini moja inapofail ni kuwa uwezo wa kusimama haraka unapungua...walirudi Dar kwakuwa uwanja ni mrefu hivyo inawahi kusimama kabla hamjafika ukutani....ingetua Dom ingesimamia Kisasa!!!Inakuwaje ishindwe kutua Dodoma lakini ikaja kutua Dar? Logic ni nini kurudi dar na kutua? why isitue huko huko dom?
Kwa waliokuwa uwanjani wanasema Ndege ilirudi uwanjani Dar baada ya kama Lisaa na dkk 10 (return) inamaana ilitembea kama dkk 35 hivi ikarudi Dar sawa na makadirio ya kms 100 hivi kutoka Dar. Ingekuwa ni gari tungesema lilikuwa hapo Chalinze; hivyo sio kweli kwamba ilikaribia Dodoma. Kwa maana hiyo Dar ndipo palikuwa karibu sana ukilinganisha na kwenda DodomaNdege ina uwezo wa kuendelea na safari iwapo engine moja itapata tatizo, na inaweza kutua kwa kutumia engine moja. Kwanini haikutua Dodoma na hio engine moja tungoje wataalam. Inawezekana uwanja wa Dodoma hauko well equipped for emergency landing kuliko Dar. Im just thinking.
Ilipaa juu zaidiilipofika Dar haikutua?
Wasije wakasema ni zoezi la usalama 😀Hii ni ile iliyoshindwa kutua KIA mwaka jana kwa tatizo hilohilo?
🤣Wasije wakasema ni zoezi la usalama 😀
Hebu dadavuaNdio sheria za ndege
Yani engine inazima at landing approach afu pilot anaabort afu anageuza anarudi alipotoka? [emoji23]... sounds like bs [emoji706]Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
MmmmmmmmmhHuduma ya Ndege kutua kwa Engine moja haipatikani Uwanja wa DODOMA maana ni kiwanja kidogo hivyo ilikuwa ni lazima irudi Dar Kwa Usalama zaidi,full stop
Kwamba ukipata engine failure at landing approach una abort landing afu unarudi ulipotokea? [emoji849]Ndio sheria za ndege
Mpige ngumi uyo!!Mshamba sana wewe.
Unataka nini Kambi ya Fisi.
Una mihemko naona
Ndege zinacrash land hata ziwani zikiwa zinarun engine moja[emoji849]Huduma ya Ndege kutua kwa Engine moja haipatikani Uwanja wa DODOMA maana ni kiwanja kidogo hivyo ilikuwa ni lazima irudi Dar Kwa Usalama zaidi,full stop
Haya maelezo yanamake sense, ningekua moderator ningeiweka hii comment juu kabisa iwasaidie watu kuelewa.Kwa waliokuwa uwanjani wanasema Ndege ilirudi uwanjani Dar baada ya kama Lisaa na dkk 10 (return) inamaana ilitembea kama dkk 35 hivi ikarudi Dar sawa na makadirio ya kms 100 hivi kutoka Dar. Ingekuwa ni gari tungesema lilikuwa hapo Chalinze; hivyo sio kweli kwamba ilikaribia Dodoma. Kwa maana hiyo Dar ndipo palikuwa karibu sana ukilinganisha na kwenda Dodoma
Bora wewe umeongea jambo.Breki za ndege ni injini zake, injini moja inapofail ni kuwa uwezo wa kusimama haraka unapungua...walirudi Dar kwakuwa uwanja ni mrefu hivyo inawahi kusimama kabla hamjafika ukutani....ingetua Dom ingesimamia Kisasa!!!
Hapana asee... ATR (ambayo ndio ndege precision wanatumia) hazitumiag reverse thrust muda wa kutua. Brake za ndege hua zipo kwenye matair kama kawaida na pia kwenye mabawa, zinaitwa flaps! Ndege nyingi kubwa zina reverse thrust,...Breki za ndege ni injini zake, injini moja inapofail ni kuwa uwezo wa kusimama haraka unapungua...walirudi Dar kwakuwa uwanja ni mrefu hivyo inawahi kusimama kabla hamjafika ukutani....ingetua Dom ingesimamia Kisasa!!!
Ubongo ushavurugikaHapana asee... ATR (ambayo ndio ndege precision wanatumia) hazitumiag reverse thrust muda wa kutua. Brake za ndege hua zipo kwenye matair kama kawaida na pia kwenye mabawa, zinaitwa flaps! Ndege nyingi kubwa zina reverse thrust,...
Sent using Jamii Forums mobile app