Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Watz bwana[emoji16]
Ndege iliyoanguka kwenye maji katika harakati za kutafuta kutua, tulisikitika tukasema heri ingeenda kutua Mwanza.
Leo ndege imerudi kutua Dar ilikotoka, Tunasema yaani imerudi tena hadi Dar.
Ndege iliyoanguka kwenye maji katika harakati za kutafuta kutua, tulisikitika tukasema heri ingeenda kutua Mwanza.
Leo ndege imerudi kutua Dar ilikotoka, Tunasema yaani imerudi tena hadi Dar.