Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hebu nipange wewe!! Tumia lugha nyepesi..
Nami nimewaza haya!Na Dar ilifikaje wakati injini ilizima?
Toa maelezo ya kina
Ndege zina brake kwenye matairi. Hakuna sababu yeyote ambayo ingezuia kufanya emergency landing katika uwanja wa dodoma. Huenda hio habari sio ya kweli.Hebu nipange wewe!! Tumia lugha nyepesi..
Mwenyewe nimewaza Kwa kirefu, uwanja wa dar upo angani auNa Dar ilifikaje wakati injini ilizima?
Toa maelezo ya kina
Ni waongo kabisaMwenyewe nimewaza Kwa kirefu, uwanja wa dar upo angani au
[emoji16][emoji16][emoji16] akikujibu nishtue nipo nimekaa pale
Nipe hiyo technolojia iliyopo darsoma kitabu kinaitwa "Aircraft Manufacturing in the New Era"utaelewa jinsi ndege inavyoweza kutua Manually kunapotokea tatizo la kiufundi,kikubwa Uwanja husika uwe na technology hiyo,kwa Tanzania ipo Dar tu sina uhakika kuhusu KIA kama ipo
Sema ATCL wamezidi na kiahirisha safari zao bana...Aya makopo ya kazi gani kwani,ATCL mbona fresh tu mwendo wa kifalme.
Habari nusunusu. Injini moja tu ilikuwa inafanya kazi. Hivyo, ndege ilishindwa kutua hapo Dodoma na hiyo injini moja. Badala yake ikaweza kusafiri na hiyo injini moja mpaka Dar na ikaweza kutua na hiyo hiyo injini moja ambapo ilishindwa kufanya hivyo Dodoma!Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
Doesn't make sense...Habari nusunusu. Injini moja tu ilikuwa inafanya kazi. Hivyo, ndege ilishindwa kutua hapo Dodoma na hiyo injini moja. Badala yake ikaweza kusafiri na hiyo injini moja mpaka Dar na ikaweza kutua na hiyo hiyo injini moja ambapo ilishindwa kufanya hivyo Dodoma!