Ndege ya precious Air yashindwa kutua Dodoma

Watz bwana[emoji16]
Ndege iliyoanguka kwenye maji katika harakati za kutafuta kutua, tulisikitika tukasema heri ingeenda kutua Mwanza.

Leo ndege imerudi kutua Dar ilikotoka, Tunasema yaani imerudi tena hadi Dar.
 
Ushindwe kutua Dodoma na engine moja, ugeuze angani urudi Dar na engine moja na utue...

Habari haijakamilika...
 
soma kitabu kinaitwa "Aircraft Manufacturing in the New Era"utaelewa jinsi ndege inavyoweza kutua Manually kunapotokea tatizo la kiufundi,kikubwa Uwanja husika uwe na technology hiyo,kwa Tanzania ipo Dar tu sina uhakika kuhusu KIA kama ipo
Nipe hiyo technolojia iliyopo dar
 
Habari nusunusu. Injini moja tu ilikuwa inafanya kazi. Hivyo, ndege ilishindwa kutua hapo Dodoma na hiyo injini moja. Badala yake ikaweza kusafiri na hiyo injini moja mpaka Dar na ikaweza kutua na hiyo hiyo injini moja ambapo ilishindwa kufanya hivyo Dodoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…