Hapa ujinga mtupu anazusha uongo ili kuharibu biashara ya watu.
Kwanza hata chanzo cha habari ni ujinga mtupu mwenyewe tunamuamini vipi?
Injini izime Dodoma halafu ndege irudi Dar. Labda ni yale maigizo ya Kahama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ujinga mtupu anazusha uongo ili kuharibu biashara ya watu.
Kwanza hata chanzo cha habari ni ujinga mtupu mwenyewe tunamuamini vipi?
It seems so.Hapa ujinga mtupu anazusha uongo ili kuharibu biashara ya watu.
Kwanza hata chanzo cha habari ni ujinga mtupu mwenyewe tunamuamini vipi?
Mimi sijaelewa inashindwaje kutua kisa engine mbovu ila ikaweza kurudi Dar kwa Engine hivohivo#HABARI: Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Dar ilikorudi imetuaje?#HABARI: Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Majungu ya mleta mada. Hitilafu ikitokea kwenye injini ndege inatafuta uwanja wa karibu inatua' sasa hii ikaacha wa karibu inarudi ilikotoka, labda aseme ndio ilikuwa inaanza kuruka kwenda dodoma itabidi igeuze lakini sio imeshindwa kutua dodomaInakuwaje ishindwe kutua Dodoma lakini ikaja kutua Dar? Logic ni nini kurudi dar na kutua? why isitue huko huko dom?
Itakuwa Engine imekataa kutua kwenye vumbi na jua la DomNa Dar ilifikaje wakati injini ilizima?
Toa maelezo ya kina
Huu ni uzi wa mjinga mtupu keshakimbia 😂😂Kama tatizo ni kuzima kwa engine ikashindwa kutua Dodoma, imewezekana vipi kurudi Dar na kutua salama?🤔
Acheni umbuzi nyie.Huu ni uzi wa mjinga mtupu keshakimbia [emoji23][emoji23]
Umbuzi unao mwenyewe 😎Acheni umbuzi nyie.
Huduma ya Ndege kutua kwa Engine moja haipatikani Uwanja wa DODOMA maana ni kiwanja kidogo hivyo ilikuwa ni lazima irudi Dar Kwa Usalama zaidi,full stop
Lete Maneno...Na Dar ilifikaje wakati injini ilizima?
Toa maelezo ya kina
Hapo Sasa....Sasa inarudije dar bila injini