Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Sasa kwanini haikutua Dodoma Kwa injini moja, ikarud Dar,,hatuoni ilihatarisha Maisha ya abiria#HABARI: Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.