Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Emergine ingekuwa international flying zone.
Midege inayoruka, 20 hours on air. Inakuaje engine ikazimika
It is diverted to the nearest airport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emergine ingekuwa international flying zone.
Midege inayoruka, 20 hours on air. Inakuaje engine ikazimika
Ndege haiwezi kupaa bila engine ,Mkuu ndege huwa inakuwa designed,kuruka kwa engine moja au bila engine na rubani anafundishwa kurusha ndege kwa engine moja na bil engine.As long as engine moja imezima na hakuna physical damage yoyote uwezekano wa ndege kutua salama ni mkubwa kuliko gari kutokupata ajali likipata pancha ya tairi moja wakati likiwa na spidi sawa na ya ndege.
OkIt is diverted to the nearest airport
Gliding Balance inapokuwa anganiNdege haiwezi kupaa bila engine ,
Acheni kutuletea hadithi za Abunuwasi!Sisi engine zote zilizima na Rubani akasema tuanze kusali..lkn cha ajabu tulitua salama JKIA
Flight 009 ya British airways!!Acheni kutuletea hadithi za Abunuwasi!
Tumeshambiwa na watu wa ndege kuwa Engine zikisima ndege huweza kwenda umbali mfupi sana (10,000ft) sawa na viwanja vitatu vya mpira, namaanisha hata kama unakiona kiwanja cha kutua mbele haitaweza kukifikia.....
ok fine but ile kusikia ndege imepata itilafu mkiwa juu usiombe yakukute, kuna siku tulichelewa kuland pale KIA, Aiseee asikwambie mtu bila hata kuambiwa nn shida tayari taharuki ilianza kwa abiria ndio iwe mambo ya engine kutokufanya kazi ?Mkuu ndege huwa inakuwa designed,kuruka kwa engine moja au bila engine na rubani anafundishwa kurusha ndege kwa engine moja na bil engine.As long as engine moja imezima na hakuna physical damage yoyote uwezekano wa ndege kutua salama ni mkubwa kuliko gari kutokupata ajali likipata pancha ya tairi moja wakati likiwa na spidi sawa na ya ndege.
Ni salama zaidi kuliko usafiri wa gari moshi (train)?Relax wakuu, ndege hizi Zina engine mbili na engine moja ina uwezo wa kuifikisha ndege salama means to land safely, na hata engine zote zikizima pilot ana uwezo wa to land ndege as far as electronics ziwe zinafanya kazi(elewa kuna back up batteries zake).
Kudos kwa pilot wetu inajionyesha ni jinsi gani upo byeee na kwa abiria na wafanyakazi wote ambao mlitulia vema ndani ya ndege, ni MUHIMU mno kusikiliza yale maagizo yanayotolewa kabla ya safari kuhusu emergency.
Wengi wetu huwa we don't pay any attention kwa kufikiria it will not happen to us! Usafiri wa ndege ndio salama kuliko wote duniani.
Unapenda mabishano kweli mkuu,gari moshi lipi hilo?Dar to Kigoma ni salama zaidi kwa gari moshi kuliko ATC flight?,common sense mkuu muda mwingineNi salama zaidi kuliko usafiri wa gari moshi (train)?
Naomba reference ya hiyo British airway kwani hizi information zipo unrealistic
unaweza kupost hiyowebsite uliyosoma nasi tujisomee
Most planes can fly with one engine.
Oh Lord!Why are they two then?
Speeding and take off,Why are they two then?
All, not most 2,3,4 or more engined planes are by design able to fly if one engine got a problem, and pilots are trained very well to handle those kind of emergenciesMost planes can fly with one engine.
Hivi wabongo Ni elimu hatuna au imagine mtu hajui hata engine ikizima inakuaje anaona propela limeacha zunguka sijui Ni anajua AC imezimwa daaa Yani hadi mzungu apige kelele😁 tutawaliwe hadi kiamaView attachment 2306678
Abiria ndani ya ndege ya Kampuni ya Precision, jana waliingiwa na hofu ya usalama wao baada ya injini moja kuzima ikiwa angani.
Ndege hiyo yenye namba PW 467 ikitokea Kahama, ikielekea Dar es Salaam kupitia Mwanza, ilizima injini baada ya dakika 51 kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza.
Hofu ilianza kutokea baada ya abiria mmoja, kijana wa kizungu, kuanza kupiga kelele, akiwaeleza wenzake waliokuwa wameketi jirani, kwamba injini imezima.
Baadaye abiria wengine waliingiwa hofu, huku baadhi wakisali, wakilia na wengine kuonekana wamejiinamia, huku wamefunika nyuso zao.
Baada ya abiria kuonekana 'wakipaniki' ndipo rubani wa ndege hiyo alitangaza kuwepo kwa hitilafu hiyo huku akieleza kwamba hali siyo ya kutisha sana.
"Abiria wetu wapenzi, ndege yetu imepata tatizo la kiufundi, injini moja imezima, lakini hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kwani, tunapanga kutua katika kiwanja jirani na hapa tulipo," alisema rubani huyo.
Hata hivyo, tulizo la mwana anga huyo halikuleta afueni ya wasiwasi kwa abiria wengi, waliendelea na hofu yao, huku wengine waliokuwa hawajatambua kinachoendelea wakiungana na wengine kusononeka.
Rubani alirejea tena kwa tangazo; "Abiria wetu wapendwa, tunasikitika kwa kilichotokea, nawaomba kuwa watulivu wakati sasa tunajiandaa kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Tutatua ndani ya dakika 20."
Baada ya muda huo, ndege hiyo ilitua salama katika uwanja huo na abiria walishangilia. Wengine walipiga kofi, wengine wakipiga kelele za shangwe na wengine wakimshukuru Mungu.
Mmoja wa abiria aliyekuwamo ndani ya ndege hiyo, Simon Mkina, aliandika katika ukurasa wake wa Twitter na taarifa hiyo kusambaa dunia nzima, huku akipongezwa kwa kutoa taarifa hiyo mapema.