Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

Ndege haiwezi kupaa bila engine ,
 
Sisi engine zote zilizima na Rubani akasema tuanze kusali..lkn cha ajabu tulitua salama JKIA
Acheni kutuletea hadithi za Abunuwasi!
Tumeshambiwa na watu wa ndege kuwa Engine zikisima ndege huweza kwenda umbali mfupi sana (10,000ft) sawa na viwanja vitatu vya mpira, namaanisha hata kama unakiona kiwanja cha kutua mbele haitaweza kukifikia.....
 
Flight 009 ya British airways!!
Hawa jamaa walizimikiwa na engine zote nne wakiwa huko juu 39000 feets,
Pilots alifanya gliding kwa karibia dakika 30 ndipo wakafanikiwa kuwasha engine 3 , with engine off waliweza kutembea urefu wa km 120
It is said boeing 747 inaweza kupata gliding ratio ya hadi 15.1,
Maana yake ni kuwa kila kilometer inayoshuka inawezekana kupata km 15 za kuelekea mbele , 39000 feets ni sawa na km 11 , 11x15 ni sawa na 165, maana yake at 39000 feets pilot anaweza kufanya gliding na kupata hadi km 165 za umbali
 
ok fine but ile kusikia ndege imepata itilafu mkiwa juu usiombe yakukute, kuna siku tulichelewa kuland pale KIA, Aiseee asikwambie mtu bila hata kuambiwa nn shida tayari taharuki ilianza kwa abiria ndio iwe mambo ya engine kutokufanya kazi ?
 
Ni salama zaidi kuliko usafiri wa gari moshi (train)?
 
Ni salama zaidi kuliko usafiri wa gari moshi (train)?
Unapenda mabishano kweli mkuu,gari moshi lipi hilo?Dar to Kigoma ni salama zaidi kwa gari moshi kuliko ATC flight?,common sense mkuu muda mwingine
 
Ndiyo raha ya kuzoea hayo madude, nadhani alikuwa upande wa dirishani, dogo 'sijui alikuwa anacheza game kwenye simu' kashtuka mmh, mbona engine kama imezima, hakuzoea hiyo hali, mara paap kelele ahahahaaaa...

Angekuwa kijana wa moshono au nyakato aliyezoea Kilimanjaro, BM au Kitendaguro aah hapo ndo selfie mtindo mmoja!.
 
Naomba reference ya hiyo British airway kwani hizi information zipo unrealistic
unaweza kupost hiyowebsite uliyosoma nasi tujisomee
 

Attachments

  • Screenshot_20220731-182854_Chrome.jpg
    79.1 KB · Views: 14
Gliding nikama kuelea yaani fikiria ndege imejaa hewa ndani na inakimbia km 890 kwa saa, na ipo juu sana kwenye ft 39,000 halafu uzime engine; itaendelea kwenda kwa kasi huku mwendo ukipungua taratibu ikiwa ni pamoja na kushuka chini taratibu...hapo hakuna ufundi wa ajabu kwani inaelea yenyewe (gliding)
 
Ndo mana mimi kabla ya kupanda ndege huwa nakunywa zangu pombe kidogo ili akili ikae sawa, hata nikiwa ndani ya ndege wale wahudumu wakianza kugawa vinywaji, mimi huwa naagiza bia tu ili akili ivurugike kidogo, mambo kama hayo yakitokea unabaki unawachora tu wala hupaniki sana, pombe bwana
 
Most planes can fly with one engine.
All, not most 2,3,4 or more engined planes are by design able to fly if one engine got a problem, and pilots are trained very well to handle those kind of emergencies
 
Hivi wabongo Ni elimu hatuna au imagine mtu hajui hata engine ikizima inakuaje anaona propela limeacha zunguka sijui Ni anajua AC imezimwa daaa Yani hadi mzungu apige kelele😁 tutawaliwe hadi kiama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…