Kama kaenda kutibiwa itakuwa vumbi la desert misson limemletea mafua na kikohozi.Bibi kaenda kutibiwa nini?Ikute anasomewa duwa huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kaenda kutibiwa itakuwa vumbi la desert misson limemletea mafua na kikohozi.Bibi kaenda kutibiwa nini?Ikute anasomewa duwa huko.
Kumbuka yeye ni rais wa nchi na sio mwenyekiti wa kikundi cha upatu.Duh...!. haya mambo ya maximum transparency haya, mtu hata kwenda vakesheni tuu ujombani, kila mtu lazima ajue!. Mambo gani haya sasa?.
P
Uzuri Tuna makamu Mwanaume haina shida tu ikimpendeza BabaHuyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Uzuri Tuna makamu Mwanaume haina shida tu ikimpendeza BabaHuyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Najiuliza tu, sijui Kitenge , Zembwela na Hando kama wako katika huo msafara!Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Hiyo ni strategy tu,never outshine your boss .mwanzo alipoteuliwa kuwa makamu wa Raia alikua anaongea kwa mamlaka sana wakamfinya ikabidi atulie .Yule mzee naye muoga wa kuwa Rais...kuna wakati Rais na viongozi wengine wakuu walisafiri, akaanza kujitetea kuwa kuongoza nchi ni kazi na maamuzi mengine yatasubiri Rais arejee...
Hata Mimi nahisi hivyo,ule mwili pamoja na umri wake presha na sukari itakua ngumu sana kuzikosa. Maumivu ya miguu na magoti kwa sababu amekua overweight siku hizi😎😎.Bibi kaenda kutibiwa nini?Ikute anasomewa duwa huko.
Maamuzi magum atamfanyia nani, nchi ngumu hii , wafikili watz wote wapumbavu, nani alikua na maauzi magu kama mwendazake , nani alikua na maamuzi magum kama mkapa, Mwalim Nyerere , sasa mmewatibua watanganyika mtajua hamjuiMmemkalia kooni. Anawazoom tu. Tusubiri maamuzi magumu
Aache tabia ya kuondoka nchini kimyakimya. Ona Odinga alivyoumbua mtu.Inakusaidia nn hii?
Aiseee mkuu Ina onesha kemia, uli ifanyiaga unyama Sana 😁🤒💪Sema huyu mwamba anajaribu kutoa signal ila wabongo tunapenda thread za kufakamia potassium permanganate (kmno4)
Sio O level cyo advance nlikuwa mafia sana😁😁Aiseee mkuu Ina onesha kemia, uli ifanyiaga unyama Sana 😁🤒💪
Mkuu Kuna movement ita fanyika, so ningeomba uwe part ya team.Sio O level cyo advance nlikuwa mafia sana😁😁
Njoo pmMkuu Kuna movement ita fanyika, so ningeomba uwe part ya team.
👉Coz it's not easy kufanya baadhi ya vitu- wenyewe, ila together Itasaidia🙏🙏
👉 Mpaji Mungu
😳Unaambatana na Mrisho Mpoto....
🤣🤣🤣
Dubai..! Nyie..