citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Kweli wabongo nomaMmemkalia kooni. Anawazoom tu. Tusubiri maamuzi magumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wabongo nomaMmemkalia kooni. Anawazoom tu. Tusubiri maamuzi magumu
Wapuuzi mnajadili upuuziKwa nini hafai mkuu tuambie,kwa kuwa mimi naona ni mtu mwaminifu na mwenye msimamo sana,na hiyo ndiyo aina ya Rais tunayetaka.Ni mpigaji tu atakayeona Mpango hafai kuwa Rais.
Hivi una uhakika kuwa hajaoneiana wiki nzima!!?Kwa mapenzi ya wananchi kwa Rais wao ni vema sana safari yake ikatolewa hadharani na Serikali. Wiki sasa wananchi hawajui Rais wao yuko wapi. Rais ni nembo ya nchi. Hii ni mbaya. kunafichwa nini.
Yule Tumia akili noma SANA yule!!Kama kaenda kutibiwa itakuwa vumbi la desert misson limemletea mafua na kikohozi.
Pengo atamsaidia pale st.petersMpango hafai kuwa Rais hata kidgo