kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Picha zangu hazifunguki, kulikoni? Natamani kuona hiyo ndege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Parapanda "Italy"Parapanda "Italy"
Inaonekana we ndo kapuku wa kutupwa huna mbele labda unamiliki nyuma tu huwezi kujifananisha na mleta uziWewe badala ya kutafuta pesa uweze ishi wewe unaangaika kutafuta Ndege
Kwa tulipofikia uliotaja wafute bakiza jeshi na Tiss ndan yake.Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.
Achana na maslahi binafsi, tuiokoe tanganyika.
Walimu
madaktari
manesi
Wazee
vijana
vikongwe
wanafunzi
wanajeshi
magereza
FFU
Wanasiasa( ukiacha akina Mkumbo and Co. Ltd), Zito na kundi lake ACT
Mwisho na vichaa msaidie pamoja na ukichaa chenu
We huna akiliMda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Watu wema hawafi, jjiwe alikuwa shetaniDr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Hii aende Waziri wa mawasiliano.Msubirie 8/8 na tarehe 10 utamuona tuu View attachment 2707072
Ndege ya Rais, ndege ya mama haijaguswa. Upo?ndege ya mama
Uchuro huo unajua!Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Aende kufanya nini? Unajua thamani ya huo Mkonga wa Taifa?Hii aende Waziri wa mawasiliano.
Yaani Rais wa nchi una "bei yake"? Mambo gani haya unaleta ! Acha dharau.Aende kufanya nini? Unajua thamani ya huo Mkonga wa Taifa?
Ndio Kuna itifaki za Miradi ya RaisYaani Rais wa nchi una "bei yake"? Mambo gani haya unaleta ! Acha dharau.
Hakika mkuuMambo ni mengi muda mchache
Aisee...! Nadhani hatuelewani lugha. Asubuhi njema.Ndio Kuna itifaki za Miradi ya Rais
Waliopewa ndio warudisheNi bora tuilipe hiyo hela waliopewa kama rushwa Ili tuachane na huo mkataba
Bundi akilia anaashiria nini?Uchuro huo unajua!
Yaani hapa wewe ndiye mjinga kabisa, kumbuka anaye ongelewa hapa ni Rais wa nchi na amiri jeshi mkuu na sio kiongozi wa kikundi ya upatu.Wajinga nyie mnaohangaika kumpekenyua Mama wakati yeye anajilia bata tu.
Na hata akiachia ngazi leo hii bata litaendelea mpk kufa kwake. Sasa sijui nyie mnapata nn kwa kazi hii