Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.
Achana na maslahi binafsi, tuiokoe tanganyika.
Walimu
madaktari
manesi
Wazee
vijana
vikongwe
wanafunzi
wanajeshi
magereza
FFU
Wanasiasa( ukiacha akina Mkumbo and Co. Ltd), Zito na kundi lake ACT

Mwisho na vichaa msaidie pamoja na ukichaa chenu
Kwa tulipofikia uliotaja wafute bakiza jeshi na Tiss ndan yake.
Niger imetuonyesha njia.
 
Wajinga nyie mnaohangaika kumpekenyua Mama wakati yeye anajilia bata tu.
Na hata akiachia ngazi leo hii bata litaendelea mpk kufa kwake. Sasa sijui nyie mnapata nn kwa kazi hii
Yaani hapa wewe ndiye mjinga kabisa, kumbuka anaye ongelewa hapa ni Rais wa nchi na amiri jeshi mkuu na sio kiongozi wa kikundi ya upatu.
 
Back
Top Bottom