Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu muoneeni huruma msimsagie kunguni.Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
[emoji50][emoji50][emoji50]R.I.P kanumba
Umecomment kidoti likitokea jambo uje u'edit hapo, kusudi uonekane You were ahead of time AU eti Ni mtu wa system
Ndiyo nidhamu na busara ya uongozi. Siyo woga! Watu waadilifu ni watiifu pia kwa viongozi wao. 🙏🙏🙏Yule mzee naye muoga wa kuwa Rais...kuna wakati Rais na viongozi wengine wakuu walisafiri, akaanza kujitetea kuwa kuongoza nchi ni kazi na maamuzi mengine yatasubiri Rais arejee...
Sayansi na Teknolojia 😂😂Nyie ni kama bundi mara mseme Iko Saudia siku ya 8 Sasa mara Iko Oman mara saizi mnasema Iko Dubai yaani ni upuuzi tuu.
Tafuteni wajinga wenzenu ndio muwe mnaambizana huu utoto.
Nikiandika jina halisi kama kiungo nlichokimaanisha bas mod watagombana kuni-banHahahah naona umeweka hadi chemical naming yake KMnO4
Wampe hata kandege kazuri basi…
ALLAAH ATUONGOZE.Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Vimefanya nini?Sayansi na Teknolojia 😂😂
Ikimpendeza mwenyezi Mungu afunge hesaabu tu.....Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Hili limwanamke jizi!Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Kuuza rasilimali za nchi kwa waarabu ndo kufaidi?Muacheni mama aufaidi Urais , ndio muda wake huu
Pengine Atakuwa kwenye vikao vya kubembeleza walegeze masharti magumu ya mkatabaSafi sana hii,huu ndio uzalendo unaotakiwa,kitaeleweka tu.Lazima kuna jambo zito sana linaloendelea.Kama alidhani anaweza akauza mali ya familia akabaki salama,alikosea sana.
Ni laini kama supu ya kichwa cha mbuzi. Hatujaijulia tuNchi ngumu Sana hii[emoji26][emoji848]
Matibabu gani? Anabeba mihuri ya ikulu kwenda kwa waarabu kusaini mikataba ya kuuza nchiHuyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Na hili ndio tatizo kubwa sana kwa viongozi wetu unapowatumia watu hao hao waliokusababishia matatizo kutatua matatizo ni majanga.Angekuwa na busara, huko Dubai angeambatana na akina Lissu, Mwabukusi, Madeleka, nk.
Ujinga, watu wale wale waliomfikisha hapa ndio hao hao unakuta kaambatana nao.