Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
SanaRushwa inaumbua, sometimes inakufanya uonekane bwege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaRushwa inaumbua, sometimes inakufanya uonekane bwege
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀Mpango hafai kuwa Rais hata kidgo
Walipe sio tulipe, wamalizane gizani huko.Ni bora tuilipe hiyo hela waliopewa kama rushwa Ili tuachane na huo mkataba
Duh hizo makitu hapana aisee.... Imani yangu hairuhusu....Hela yako tu mkuu huyu jamaa yupo tayari kuliwa muda wowote na akakuletea na mkewe kama nyongeza
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Tumegee aisee!Hizi habari zina mambo ndani yake.
Wabongo nuksi mamaé 😅😅😅🤣Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobaini
Lazima ipo biashara inayo-endelea.Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Safi sana hii,huu ndio uzalendo unaotakiwa,kitaeleweka tu.Lazima kuna jambo zito sana linaloendelea.Kama alidhani anaweza akauza mali ya familia akabaki salama,alikosea sana.Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Asee watu mna mambo!
100%Parapanda "Italy"
Huyo baba aliyesema "rais ni mzima na anachapa kazi" toka siku ile kila akiongea kitu huwa simwamini kabisa.Nani aliwahi kukuambia kuwa JPM amelazwa kwenye moja ya zahanati za DSM na yupo hoi? Taarifa iliyotoka ni " Rais ni mzima na anachapa kazi"
Wanaacha wenyewe ombwe la ya taarifa kwani Rais anapokuwa ana safari iwe ya kikazi au mapumzikon ni wajibu wao kutoa taarifa kwa umma! Ata hivo mi sijareport uwepo wa Rais huko Dubai, ila nimereport ndege ya Rais! Kumbuka ata Dkt Tulia alishawah kuitumia hiyo ndege na ata Waziri mkuu ashawah kuitumia hiyo ndege.Kijana una kibali chakuifuatilia ndege ya Raisi ? Hata kama na free available public information hapa Tanzania warakutwika zigo la kuratibu na kupanga njama za kuilupua ndege ya Raisi..pamoja na kushirikiana na maadaui kuexpose taarifa zinazotishia usalama wa Namba 1 wa Taifa.