Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa vinawafariji wenyewe vikauli kama hivi ee?!!!Aibu tu...
Na ataipata fresh!!
Shukrani mkuuMda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Wanachekesha kweli hawa!!!!! Wanazidi kujidhalilisha.......kumbe mama mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ni lidude likuubwa mno kwao.Ajute kisa kelele za losers? Hakuna kujuta ukiwa Rais, bora kulia ukiwa kwenye PJ kuliko kwenye bajaji.
We kula kulala sio kila thread kuchangia. Thread zinazokuzidi uwezo wako wa kufikiria ziache zipate.Wewe badala ya kutafuta oesa uweze ishi wewe unaangaika kutafuta Ndege
Dubai Mambo Ni Moto, Mambo Ni Fire Fire
Acha Tuone Atakayeungua Atasema Tu
Lucas mwashambwa, FaizaFoxy, ChoiceVariableMda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
JiziMda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Ananegotiate mkataba. PeriodHuyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Kikubwa tulielewa wewe kama ulimezeshwa mazaga uyatumie vile vile utajiju. Elimu za kukaririshwa. Hubadilishi hata kwa kujiongezaWhat a digital footprint means?
A digital footprint – sometimes called a digital shadow or an electronic footprint – refers to the trail of data you leave when using the internet. It includes websites you visit, emails you send, and information you submit online. A digital footprint can be used to track a person's online activities and devices.
Ilipopaa tu wakazima transponder..[emoji23]Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Ogopa Mungu na techHakika teknolojia ni mwamba. Digital footprint ya 5H ONE kila mahala
Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.[emoji419][emoji375]Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.
Achana na maslahi binafsi, tuiokoe tanganyika.
Walimu
madaktari
manesi
Wazee
vijana
vikongwe
wanafunzi
wanajeshi
magereza
FFU
Wanasiasa( ukiacha akina Mkumbo and Co. Ltd), Zito na kundi lake ACT
Mwisho na vichaa
Acha kumjaza maujingaWanachekesha kweli hawa!!!!! Wanazidi kujidhalilisha.......kumbe mama mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ni lidude likuubwa mno kwao.
Hivi ndo mnavofikiria Watanganyika kama mnamkomoa raisi! Upuuzi wenu hata habari hanaAibu tu...
Na ataipata fresh!!
Ni uzalendo wa hali ya juu kabisa. Wasioyajua mambo haya hawawezi kuelewa.Asanteni wazalendo
Kama ni mtu mwenye hofu ya mungu, lazima hilo jambo limsumbue sana nafsi yake. Uongozi ni dhamana kubwa na wataulizwa kwa walivyovichunga.Ajute kisa kelele za losers? Hakuna kujuta ukiwa Rais, bora kulia ukiwa kwenye PJ kuliko kwenye bajaji.