Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hakika teknolojia ni mwamba. Digital footprint ya 5H ONE kila mahala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hakika teknolojia ni mwamba. Digital footprint ya 5H ONE kila mahala
Pamoja na Mwijaku !Unaambatana na Mrisho Mpoto....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dubai..! Nyie..
Hivi huyu mtu ni kama anapakuliwa..... Ana kera sana.Pamoja na Mwijaku !
Alete tu Hilo balaa tunalisubiri.Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Dr. Mpango anaongea kwa kujiamini sana siku mbili tatu hizi kama mtu anayetegemea kuokota dodo chini ya muarobainiHuyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..
Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..
Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!
Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
What a digital footprint means?Digital footprint
Wewe badala ya kutafuta pesa uweze ishi wewe unaangaika kutafuta NdegeMda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
CCM wanasema ni bora nchi ipelekwe utumwani upya.Ni bora tuilipe hiyo hela waliopewa kama rushwa Ili tuachane na huo mkataba
Hela yako tu mkuu huyu jamaa yupo tayari kuliwa muda wowote na akakuletea na mkewe kama nyongezaHivi huyu mtu ni kama anapakuliwa..... Ana kera sana.
Huyu mama atajuta kuingia kwenye siasa...