Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..

Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..

Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!

Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Nani aliwahi kukuambia kuwa JPM amelazwa kwenye moja ya zahanati za DSM na yupo hoi? Taarifa iliyotoka ni " Rais ni mzima na anachapa kazi"
 
Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..

Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..

Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!

Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
ulivyo muongo nani alikuambiaga Magufuli anaumwa amelazwa? Acheni miuwongo ya kipuuzi
 
Sema huyu mwamba anajaribu kutoa signal ila wabongo tunapenda thread za kufakamia potassium permanganate (kmno4)
ukweli ntupu. Ráisi kuzura bila taarifa yoyote ni jambo la kushangaza.

Tatizo Watz wengi kichwani tupo weupe. Tulipaswa kushikia Bango hili swala hadi mamlaka zituambie Raisi yuko wapi
 
Angekuwa na busara, huko Dubai angeambatana na akina Lissu, Mwabukusi, Madeleka, nk.


Ujinga, watu wale wale waliomfikisha hapa ndio hao hao unakuta kaambatana nao.
Wajinga nyie mnaohangaika kumpekenyua Mama wakati yeye anajilia bata tu.
Na hata akiachia ngazi leo hii bata litaendelea mpk kufa kwake. Sasa sijui nyie mnapata nn kwa kazi hii
 
Hawa wajinga wanafanya mambo kwa siri, bahati mbaya siri yao imeshafichuka, ajabu bado wanaendelea kuilazimisha ibaki siri.

Hii akili mbovu ndio iliyoko kwenye ofisi kubwa ya nchi yetu, namaanisha ndio inayotuongoza, kwa sababu hiyo, kwa nini tusigeuzwe watumwa ndani ya nchi yetu?

Watanganyika tumepata hasara kubwa sana.
 
Hivi huwa vinawafariji wenyewe vikauli kama hivi ee?!!!

Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, yuko fresh na kama anatoka basi kwa ajili ya mipango yake tu mingine ya kimaendeleo kwa nchi yake na raia wake na wala siyo hivi vikelele vya kisungo vya hawa nyumbu a.k.a majuha......she's too busy to waste her valuable time kwa nyumbu ndo maana anatulia tu, anawachora tu.
Hii dalili watu hawana kazi za kufanya.
Anyway inawasaidia pia kupunguza stress
 
Hawa wajinga wanafanya mambo kwa siri, bahati mbaya siri yao imeshafichuka, ajabu bado wanaendelea kuilazimisha ibaki siri, hii akili mbovu ndio iliyoko kwenye ofisi kubwa ya nchi yetu, namaanisha ndio inayotuongoza, kwa sababu hiyo, kwa nini tusigeuzwe watumwa ndani ya nchi yetu?

Watanganyika tumepata hasara kubwa sana.
Umepata hasara wewe
 
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.

Je, imeenda kumchukua Rais?

View attachment 2706684View attachment 2706685View attachment 2706686
Kijana una kibali chakuifuatilia ndege ya Raisi ? Hata kama na free available public information hapa Tanzania warakutwika zigo la kuratibu na kupanga njama za kuilupua ndege ya Raisi..pamoja na kushirikiana na maadaui kuexpose taarifa zinazotishia usalama wa Namba 1 wa Taifa.
 
Wooooooooooooooooooooooooote tusaidiane kuinusuru Tanganyika, nasema woooooooooooooooote wa Tanganyika.
Achana na maslahi binafsi, tuiokoe tanganyika.
Walimu
madaktari
manesi
Wazee
vijana
vikongwe
wanafunzi
wanajeshi
magereza
FFU
Wanasiasa( ukiacha akina Mkumbo and Co. Ltd), Zito na kundi lake ACT

Mwisho na vichaa
Kale ka MOU kamisitu na Dubai katamaliza mistu yetu miaka michache ijayo.

Mtu anaishi jangwani halafu anakuja kukuendelezea misitu yako.

Wenye akili na waelewe.

Okoa Tanganyika yetu
 
Back
Top Bottom