Ndege ya Tanzania (ATCL) iliyokuwa ikishikiliwa nchini Uholanzi imeachiwa na kurejea nchini

Ndege ya Tanzania (ATCL) iliyokuwa ikishikiliwa nchini Uholanzi imeachiwa na kurejea nchini

Ahasante mama Samia kufanya vitendo bila jazba na kiridisha ndege.


Waliokuwa hawaelewi sasa waelezwe kilichokuwepo na kilichafanyika mpaka ndege kurudi.

Mficha maradhi kifo humuumbuwa.


Kabudi tueleze.
Matindi tueleze.
Nape Nnauye tueleze

Au tufiche kombe mwanaharamu apite?
Kabudi ni nani kwenye hili mkuu
 
Back
Top Bottom