Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
poleni rafiki zangu wa chadema banaKwani Lisu ndiye aliye kuwa mtawala wa Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleni rafiki zangu wa chadema banaKwani Lisu ndiye aliye kuwa mtawala wa Tanzania?
Na wewe umekubali ni ndege yenu, tangu lini??Tuliwaita mabeberu na majina ya kuwabeza lkn wao bado wanatujali.
Hatimaye dege letu lililokuwa limepigwa pin huko kwa mabeberu hatimaye limefunguliwa.
Asante sana wazungu kwa uwajibikaji.View attachment 2682344
Maelezo basi ya kina kuhusu hili mkuu na ingawa macho na masikio ya watanzania tumeelekeza kwenye kusikia hatima ya bandari zetu ukiondoa wale ccm walamba miguuTuliwaita mabeberu na majina ya kuwabeza lkn wao bado wanatujali...
Tangu lini mkakili ni Kodi zenu??Sasa ulidhani ni ya jpm? Acha upimbi wewe!
Kodi zetu zilizama mle ebo!
Kabudi ni nani kwenye hili mkuuAhasante mama Samia kufanya vitendo bila jazba na kiridisha ndege.
Waliokuwa hawaelewi sasa waelezwe kilichokuwepo na kilichafanyika mpaka ndege kurudi.
Mficha maradhi kifo humuumbuwa.
Kabudi tueleze.
Matindi tueleze.
Nape Nnauye tueleze
Au tufiche kombe mwanaharamu apite?
Hongera kwa mama samia kalipa deni ikaachiwa huyo jamaa yenu aliitelekeza mali ya watanzania huko ulaya.Mtanikumbuka[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii nchi imelipa fidia nyingi sana Kwa maamuzi ya Marehemu Mwendazake tangu akiwa Waziri mpaka akiwa na Urais.
Unauliza makofi polisi?Kwa hiyo tumewalipa hizo 165 million dollars?.
Ni jambo zuriTuliwaita mabeberu na majina ya kuwabeza lkn wao bado wanatujali.
Hatimaye dege letu lililokuwa limepigwa pin huko kwa mabeberu hatimaye limefunguliwa.
Asante sana wazungu kwa uwajibikaji.View attachment 2682344
Alafu Bibi umebadilika sana siku hizi comment zako hazina msimamo umeanza kuwa unakosoa na panapofaa kusifia unasifiakwani ya nani?
Mungu wabariki WazunguTuliwaita mabeberu na majina ya kuwabeza lkn wao bado wanatujali.
Hatimaye dege letu lililokuwa limepigwa pin huko kwa mabeberu hatimaye limefunguliwa.
Asante sana wazungu kwa uwajibikaji.View attachment 2682344
Anaelewa lilipoanzia na anaelewa lilipofikia.Kabudi ni nani kwenye hili mkuu