Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Watanzania wape kichwa cha habari tu story wanatengeneza wenyewe.

Kwanini mtu usisubiri habari kamili au hata uwe na background kidogo za nani mdai, ndege imekamatwa wapi, lini etc kabla ya kupita ili watu wa comment on merit.
Mkuu, mleta uzi huu, ameweka chanzo, hivyo tusiwe wavivu wa kuitafuta hiyo habari. Hilo ni gazeti la Mwananchi la leo. Habari kamili ipo humo!
 
Acha ujinga Makonda. Wakati wa Magufuli ndege nyingi zilishikwa na ziliachiwa baada ya kulipa madeni. Ule ulikuwa ubabe wa kisenge tu
 
Team JPM upooo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…