Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mkuu, mleta uzi huu, ameweka chanzo, hivyo tusiwe wavivu wa kuitafuta hiyo habari. Hilo ni gazeti la Mwananchi la leo. Habari kamili ipo humo!Watanzania wape kichwa cha habari tu story wanatengeneza wenyewe.
Kwanini mtu usisubiri habari kamili au hata uwe na background kidogo za nani mdai, ndege imekamatwa wapi, lini etc kabla ya kupita ili watu wa comment on merit.