Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Hivi kuna Rais aliyeharibu hii nchi kuzidi Jiwe?
Ndege zenyewe zimenunuli na Magufuli,sema Sasahivi mafisadi wanaujumu shirika ili wapate kujimilikisha, mbona hawakuzikamata Wakati wa Magufuli?hata kama zilikamatwa ziliachiwa.Mama yenu Sasahivi anacheza ngoma ya mafisadi,baada ya Rostam kanunua ndege zake, Sasahivi anafanya ila shirika lefe Viongozi waanze kukodisha ndege zake.
 
Ipo siku na hii nchi itapigwa mnada kama alivyosema Ndugai.
Uzuri wa nchi hii yote yanayokuwa yanaonekana ni kuikosoa serikali huwa yanarudi Kwa njia nyingine, Bashiru alikosolewa baada ya kusema anakwanzwa na kusifu na kuabudu....juzi Rais amekemea huo ujinga...............
 
Kwa hiyo habari mbaya kama hii kwa nchi wewe haikuhusu ndugu yangu? Hadi uambiwe tuungane? Hivi huku tunaelekea wapi? Badilika. Tanzania ikihujumuwa unahujumiwa wewe na mnyororo wa vizazi vyako mijini na vijijini. #Wake up. πŸ™πŸ™πŸ™

Inawahusu CCM pekee yao. Mimi hainihusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…