Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Sawa lakini huwezi futa kinyemela hati niliko iliyoko kisheria..

Kwani Serikali haikujua kwamba Kuna hiyo case ili wakapambane kisheria au kufanya hayo unayoyasema?

Matusi hayatakusaidia Wala hayafuti ukweli kwamba Mwendazake alikuwa Ni mkurupukaji wa maamuzi yake.
Ndugu sheria ya nchi ni automatic clause term kwenye mkataba, kama sheria inasema raisi ana uwezo wa kufuta matumizi ya ardhi at whim hiyo ni contract term pia.

Na kwa Tanzania utadai fidia kama eneo tayari ushaliendeleza, ata huko mahakamani fidia za breach of contract inataka uonyeshe hasara ilipo. Sasa mtu ajaendeleza ardhi hiyo thamani ya fidia ina kadiriwa vipi.

Ni hivi serikali iseme inatosha huu mchezo hawa watu wanachofanya sasa ni kutuongezea umaskini, ni kulipeleka ili swala UN, WTO, EU jinsi ICSD inavyokosa credibility na inatumika kuiadhibu Tanzania kwa kesi za kijinga na nchi zinazo kamata mali.

This is becoming a serious violation of Tanzania trade rights.
 
Wamewatoa wapinzani Bungeni na madiwani, na serikali za mitaa na vijiji
2020 mchele mzuri Tsh 1,500/- leo 2022 Tsh 3,000/-, maharagwe kutoka 2,000/- kilo hadi Elfu 4
Kumbe wapinzani walikuwa wanatuchelewesha huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu inabidi uandaliwe Degree ya Heshima ya Uchumi.
 
Rais alisema TLS wakimbana kwa sheria za kimataifa, atawabana kwa za ndani.

Watu wa ughaibuni wakimbana kwa sheria za kimataifa, wakahodhi ndege, atafanya nini?
Yes Serikali ya CCM ilimfukuza muwekezaji kwa sheria zetu za ndani, sasa leo anatumia sheria za nje kukamata ndege alipwe pesa yake serikali imeanza kurusha miguu.
 
Tundu Lissu akiwa kama mzalendo halisi, alipata kusema na kuishauri serikali na bunge lake wawe makini kuhusu mikataba ya kimataifa kama huu, kuwa mkataba ukivunjwa kuna masharti, vigezo na taratibu za kuzingatiwa ambavyo vinaweza kuligharimu taifa pakubwa ikiwa mikataba itavunjwa kienyeji.

Serikali ilitumia ubabe kama wanaotumia kwa raia wake wa kiTanzania, tatizo mradi huu ulihusisha mwekezaji katika ngazi ya mdau wa maendeleo wa kimataifa, hivyo vigezo, masharti na taratibu za mkataba na sheria vinapaswa kuzingatiwa.
Tundu Lissu ni mtu ambae mara nyingi anatoa misleading information which aims to justify his legal position, not necessarily anasimamia ukweli mara zote.

In any legal contract hakuna term inayoweza override existing sheria za nchi ndio maana huko kwenye LNG moja ya kitu kilicho chelewesha majadiliano ni wawekezaji kuto taka sheria za oil and gas alizoleta Prof Muhongo kutowahusu wao.

Halafu kwenye huu mzozo sio sheria tu inampa mamlaka raisi, ata hiyo ardhi yenyewe ilikuwa na mgogoro isitoshe so kuna kukiukwa kwa sheria vilevile kwenye upatikanaji wake.

Ni kesi ya ovyo mno
 
sheria inasema raisi ana uwezo wa kufuta matumizi ya ardhi at whim hiyo ni contract term pia.

Nchi zingine zinaendesha serikali bila kuwa na rais au waziri mkuu mtendaji kwa hata miaka miwili.
Hivyo suala la rais wa Tanzania ana mamlaka makubwa, upande wa duniani huko hawalipewi nguvu kisheria. Kwao Rais ni mtumishi au ajenti kwa niaba ya serikali. Hivyo anayebanwa ni serikali wala siye mtumishi anayeingia ikulu kama rais na kutoka kwa namna nyingi.

Pili mwekezaji wa shamba la miwa anaweza kudai tayari aliingia mikataba ya kununua au kukodi ma caterpillar na excavator za kungoa visiki, amechukua juhudi za mwanzo kukopa fedha ktk mabenki, gharama za usumbufu kuja Tanzania kwa majadiliano n.k n.k

Hayo yote yakijumlishwa na pia serikali dakika ya mwisho kuvunja mkataba na pia kutozingatiwa wajibu wa kuwashawishi wanakijiji kuhama n.k ni sawa na kuitapeli kampuni hiyo ya mwekezaji toka Sweden

Hivyo kwa mazingira hayo serikali ya Tanzania hakuna namna zaidi ya kulipa kitita hicho cha pesa baada ya mtumishi / ajenti wao (yaani rais) kuvunja mkataba.

Hapo ndipo tunapoona madhara ya madaraka makubwa kwa mtumishi namba moja wa serikali kwa jina lingine rais. Katiba mpya inaweza kuangalia na hili jambo kumdhibiti mtumishi huyu asilete hasara na madhara.
 
Nchi zingine zinaendesha serikali bila kuwa na rais au waziri mkuu mtendaji kwa hata miaka miwili.

Hivyo suala la rais wa Tanzania ana mamlaka makubwa, upande wa duniani huko hawalipi nguvu kisheria.

Pili mwekezaji wa shamba la miwa anaweza kudai tayari aliingia mikataba ya kununua au kukodi ma caterpillar na excavator za kungoa visiki, amechukua juhudi za mwanzo kukopa fedha ktk mabenki, gharama za usumbufu kuja Tanzania kwa majadiliano n.k n.k

Hayo yote yakijumlishwa na pia serikali dakika ya mwisho kuvunja mkataba na pia kutuzingatiwa wajibu wa kuwashawishi wanakijiji kuhama n.k ni sawa na kuitapeli kampuni hiyo ya mwekeji toka Sweden

Hivyo kwa mazingira hayo hakuna namna zaidi ya kulipwa kitita hicho cha pesa.
Ndugu sheria za nchi ni automatic contract term elewa hilo. Kama ukuzingatia basi elewa zinaweza kuku affect anytime, sio Tanzania tu bali unapowekeza nchi yeyote.

Pili unapodai damages lazima uonyeshe costs evidence; kumbuka hiyo kesi ni ya Tanzania so onyesha hayo matractor yalipo and so forth, receipt za manunuzi, huo mkopo na mambo mengine luluki. Damages sio guess work ni quantifiable on evidence.
 
Muwekezaji wa Kiswidi aliyeshinda tuzo ya Dola za kimarekani milioni 165 ameishawishi Mahakama ya Uholanzi kuishikilia ndege ndege ya Tanzania wakati pingamizi zikiendelea.

Mgogoro huo umetokana na kufutwa mpango wa kuendeleza mashamba ya sukari wilayani Bagamoyo umbao ulikuwa na malengo ya kuzalisha sukari kwaajili ya kuuza nje ya nchi na ethanol ili kuzalishia umeme.

Mradi huo ulipata pingamizi kutoka kwa wanaharakati wa ndani wakiwawakilisha wakulima 1300 ambao bado walikuwa wakitumia ardhi hiyo. Pia muwekezaji huyo aliilaumu Serikali ya Tanzania kushindwa kutengeneza kanuni za sekta ya sukari na kufanya ardhi hiyo kuwa na vikwazo.

Serikali mwaka 2016 ilifuta hati hiyo. Aprili, 2022 Mahakama iliipa ushindi wa tuzo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 165 Kampuni ya EcoDevelopment. June 16, ikiwa ni siku moja baada ya ICSID kupokea maombi ya Tanzania kubatilisha hukumu hiyo, Ecodevelopment ilipata ruhusa (leave) kutoka kwenye mahakama ya wilaya ya The Hague kutimiza na maamuzi ya upande mmoja kutoka kwa jaji wa Limburg yaliyotoa kibali cha kuishikilia ndege.

Ndege ya Airbus A220 ilikuwa tayari imenyimwa ruhusa ya kupaa tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen taarifa ikisema ni kutokana na matatizo kwenye injini.

Zaidi, jisomee=> Hapa

==========

A Swedish investor that won a US$165 million award against Tanzania has persuaded a Dutch court to uphold the attachment of an aircraft owned by the east African state, even though ICSID has stayed enforcement pending annulment proceedings.

On 8 November, a preliminary relief judge in the District Court of Limburg refused to lift the attachment granted in favour of Swedish entity EcoDevelopment in Europe.

Tanzania argued the attachment was unlawful because it was obtained a day after the state had applied to ICSID to annul EcoDevelopment’s award. But the judge reasoned that ICSID’s provisional stay of enforcement of the award only took effect on the date that the institution registered the state’s annulment request.

The Swedish company is using Houthoff in the Dutch courts and Mannheimer Swartling in the ICSID proceedings. Tanzania has turned to Buren Legal for the attachment proceedings but has not appointed external counsel in the arbitration or annulment proceedings.

EcoDevelopment, which is owned by 18 Swedish citizens and business leaders, brought its ICSID claim in 2017 under the Sweden-Tanzania bilateral investment treaty.

The dispute concerned abandoned plans to develop a sugar cane project in Bagamoyo on the eastern coast of Tanzania. The project was intended to produce sugar for export as well as ethanol for use in generating electricity.

But the project encountered opposition from local activists on behalf of 1,300 farmers still using the land. The investor also blamed the government for failing to introduce a new sugar industry regulation and provide land free from incumbrance. A new government under President John Magufuli revoked the title to the land in 2016.

In April this year, an ICSID tribunal chaired by the UK’s Sir Christopher Greenwood KC and including Stanimir Alexandrov and Funke Adekoya SAN issued an award in EcoDevelopment’s favour and ordered Tanzania to pay nearly US$165 million.

On 16 June, a day after ICSID received Tanzania’s application to annul the award, EcoDevelopment obtained leave from the District Court of The Hague to pursue enforcement; and an ex parte ruling from the provisional relief judge in Limburg permitting the plane seizure.

The Airbus A220 plane, operated by the state’s flag carrier Air Tanzania, had already been grounded at Maastricht Aachen Airport since January this year, reportedly because of engine problems.

ICSID eventually registered the annulment request on 21 June and notified the parties of the provisional stay of enforcement.

An ICSID ad hoc committee chaired by ex-Milbank partner Michael Nolan and including Carole Malinvaud of Gide Loyrette Nouel and Kenya’s former attorney general Githu Muigai issued a decision in September continuing the stay of enforcement.

Tanzania meanwhile applied to the Limburg court to lift the attachment and prohibit EcoDevelopment from seeking any further attachment based on the ICSID award while the annulment proceedings are pending.

The state argued that the effect of the automatic stay granted by ICSID was that the award was not provisionally enforceable and that the attachment was thus granted unlawfully. It contended that the Dutch courts were bound to recognise the ICSID stay decision as binding.

Tanzania also argued that the attachment had affected its interests in a disproportionately serious way and that as a national government it had sufficient assets within and outside its territory to ensure the award would be paid.

But in this month’s decision, Judge KJH Hoofs said it was not clear from the ICSID Convention when the provisional stay commences. While Christoph Schreuer’s well-known commentary on the convention suggests it takes effect from the date of an annulment application, the judge said ICSID case law suggested it took effect upon the date of its registration by ICSID. The judge therefore concluded that the attachment was lawful.

The judge also said the ad hoc committee’s decision to continue the stay did not affect the attachment, and that Dutch law applied to the execution of the award. She said she could only lift an enforcement order if the executing party had no reasonable interest in using their power of enforcement, which Tanzania had not demonstrated.

She also declined to prohibit further attachments, observing that EcoDevelopment had already stated that it would not sell the aircraft or take further enforcement measures while the annulment proceeding was ongoing.

Earlier this month, the ad hoc committee rejected an unusual attempt by EcoDevelopment to have Tanzania’s annulment request thrown out under ICSID rule 41(5), which allows for expedited dismissal of claims that are manifestly without legal merit. The mechanism is more commonly used in ICSID arbitrations but was invoked by Panama last year in a failed bid to knock out an annulment request by Dominion Minerals.

United Republic of Tanzania v. EcoDevelopment in Europe AB & others (C/03/310349/KG SA 22-395)

In the District Court of Limburg
Majaliwa wa uokoaji nadhani anaweza kutusaidia hata katika hili
 
Mbona CCM nzima ilifurahia Lissu kulimwa risasi, na CCM ikamfukuza ubunge na bado CCM kupitia sirro wakakataa kufanya upelelezi.
Sasa huyo ZUZU LISSU NA ZELENSKY WANA TOFAITI GANI TENA UKIZINGATIA WOTE NI MABWABWA WASIO NACHEMBE YA UZALENDO
 
damages lazima uonyeshe costs evidence; kumbuka hiyo kesi ni ya Tanzania so onyesha hayo matractor yalipo and so forth, receipt za manunuzi, huo mkopo na mambo mengine luluki. Damages sio guess wor

Soma andiko hili kuhusu changamoto kwa serikali na wawekezaji wakubwa kutoka nje :

22 Sep 2017

Author:Kaitlin Cordes & Jesse Coleman, Earth Institute, Columbia University (USA)

Agro EcoEnergy sues Tanzania after govt. cancels project due to concerns over human rights impacts​


"Not So Sweet: Tanzania Confronts Arbitration over Large-Scale Sugarcane and Ethanol Project"

Large-scale agricultural investments raise a number of challenges: negative environmental and social impacts, often borne primarily by local communities and land users, as well as operational and reputational risks, which have pained many an investor.

Host governments also confront a number of challenges arising from investments, from facilitating investments that align with sustainable development objectives, to monitoring investor compliance with relevant obligations and best practices regarding responsible investment.

One challenge that receives less attention is the risk that governments run of being sued by investors when projects don’t proceed as planned, often for legitimate reasons.

Tanzania is currently confronting this challenge, faced with a new international investment dispute tied to a proposed large-scale sugarcane and ethanol production project.

The dispute concerns the Agro EcoEnergy project in Bagamoyo, a venture that has been criticized for its potential impacts on local farmers and villagers...

In January 2015, the Tanzanian parliamentary committee on Land, Natural Resources, and Environment reportedly required the Ministry of Lands, Housing, and Human Settlements Developments to recover 3,000 hectares of the land allocated for the project that fell within the national park; the following year, the entire project was reportedly halted.

The claim against Tanzania is being brought by four companies involved in the project, under a bilateral investment treaty in force between Sweden and Tanzania.

It will be determined by means of investor-state arbitration, a unique and privileged form of dispute settlement available to foreign investors under many international investment agreements (IIAs), including the Sweden-Tanzania treaty.

Investors with recourse to investor-state arbitration can bypass domestic court systems, bringing their claims directly before an international panel of arbitrators

More info :

Sunlodges Ltd (BVI) and Sunlodges (T) Limited v. The United Republic of Tanzania (PCA Case No. 2018-09)

Investment: Ownership of the Mikindani (or Kabisela) estate used for cattle farming activities.

Summary: Claims arising out of the Government's alleged seizure of the claimants’ cattle farming land in order to build a cement works and a power station

 
Tanzania ina matatizzo makuu 2, Uislamu na Upagani, ndio maana hatuendelei.

Christianity is the solution and the way!
 
Soma andiko hili kuhusu changamoto kwa serikali na wawekezaji wakubwa kutoka nje :

22 Sep 2017

Author:Kaitlin Cordes & Jesse Coleman, Earth Institute, Columbia University (USA)

Agro EcoEnergy sues Tanzania after govt. cancels project due to concerns over human rights impacts​


"Not So Sweet: Tanzania Confronts Arbitration over Large-Scale Sugarcane and Ethanol Project"

Large-scale agricultural investments raise a number of challenges: negative environmental and social impacts, often borne primarily by local communities and land users, as well as operational and reputational risks, which have pained many an investor.

Host governments also confront a number of challenges arising from investments, from facilitating investments that align with sustainable development objectives, to monitoring investor compliance with relevant obligations and best practices regarding responsible investment.

One challenge that receives less attention is the risk that governments run of being sued by investors when projects don’t proceed as planned, often for legitimate reasons.

Tanzania is currently confronting this challenge, faced with a new international investment dispute tied to a proposed large-scale sugarcane and ethanol production project.

The dispute concerns the Agro EcoEnergy project in Bagamoyo, a venture that has been criticized for its potential impacts on local farmers and villagers...

In January 2015, the Tanzanian parliamentary committee on Land, Natural Resources, and Environment reportedly required the Ministry of Lands, Housing, and Human Settlements Developments to recover 3,000 hectares of the land allocated for the project that fell within the national park; the following year, the entire project was reportedly halted.

The claim against Tanzania is being brought by four companies involved in the project, under a bilateral investment treaty in force between Sweden and Tanzania.

It will be determined by means of investor-state arbitration, a unique and privileged form of dispute settlement available to foreign investors under many international investment agreements (IIAs), including the Sweden-Tanzania treaty.

Investors with recourse to investor-state arbitration can bypass domestic court systems, bringing their claims directly before an international panel of arbitrators
Kuvuka local legal system hilo sio jambo la kushangaza kwenye FDI if anything mwekezaji makini atataka uwepo wa stabilisation clause.

Nonetheless kwenye arbitration hata za nje ya nchi aina maana contract clause/terms which are implied by local laws are not included in hearing of the dispute.

Halafu there is a strong ground case ya kufuta hiyo ardhi ambazo hata hiyo nakala imeziongelea eneo lipo ndani ya national park so kuna swala la eco system, kulikuwa na mgogoro wa land usage with locals and the project was not environmental sustainable. Hiyo tu tosha ata ukitumia sheria zao za environmental concern unashinda kesi kwa sheria za EU.

But then kwa sheria yetu ambayo hiyo contract inahusu zaidi na raisi ana mamlaka ya kufuta matumizi ya ardhi ndio kabisa, halafu ardhi yenyewe ilikuwa bado aijakuwa developed.

Ni hivi Tanzania inatakiwa iseme inatosha sasa na hawa wa Dutch inatakiwa tuwafanye mfano sio kuogopa mabeberu mahakama zao azijui sheria zetu, isitoshe swala bado lipo mahakamani wao wameshika ndege yetu. Wangeanza na kumtimua balozi wao kuonyesha wapo serious this is becoming too much.
 
kuonyesha wapo serious this is becoming too much.

Tupeleke timu mahiri ya wanasheria wa ofisi ya Solicitor General / Wakili Mkuu wa Serikali akapangue hoja na kuishawishi tribunal hiyo ya kimataifa. Tanzania inauzoefu wa kutumia sheria kuwezesha ndege kuachiliwa. Rejea kesi ya ndege ya Air Tanzania kushikiliwa Afrika ya Kusini.


OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI:

Missioon and Vission​

Dhima:
Kuendesha Madai ya Mashauri ya Upatanishi, Usuluhisho na Mashtaka mengine ya kiraia kwa ufanisi na kiutaalam kwa niaba ya Serikali.
Dira:
Kuwa Ofisi Mahiri ya Umma ya Kuendesha kesi na Mashauri ya Madai yanayoihusu Serikali soma zaidi : Missioon and Vission |Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

Missioon and Vission​

Typo error hiyo ya maneno mawili imeonekana katika tovuti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Tuna matumaini kosa litarekebishwa

30 Agosti 2019
Gauteng, Republic of South Africa.

DENI LA MKULIMA LASABABISHA NDEGE YA AIR TANZANIA KUKAMATWA AFRIKA YA KUSINI

1669901174234.png

  • Ndege ya Air Tanzania aina ya airbus A220-300 imezuiwa katika uwanja wa Ndege wa Oliver Tambo nchini Afrika Kusini Agosti 23, 2019 kwa amri ya Mahakama ya Geuteng, Johnnesburg nchini humo.
Dar es Salaam. Jopo ya wanasheria waliopelekwa na Tanzania kupinga amri ya kushikiliwa kwa ndege ya Air Tanzania wameiambia mahakama ya Gauteng, Afrika Kusini kwamba amri ya kushikiliwa ndege hiyo ilitolewa kimakosa.

“Tumeonyesha kwamba amri ya kuishikilia ndege ya Air Tanzania aina ya airbus A220-300 ilitolewa kimakosa dhidi ya Serikali, kwa hiyo tumetaka iondolewe,” wakili Ngaukaitobi aliiambia mahakama.
Wakili Roger Wakefied anayemwakilisha mkulima Hermanus Steyn amesisitiza kuwa kuna kesi ya msingi ya kujibu na ameitaka mahakama hiyo kuangalia vigezo vya madai hayo na kuvitendea haki.
 
Tupeleke timu ya wanasheria wa ofisi wa Solicitor General / Wakili Mkuu wa Serikali akapangue hoja na kuishawishi tribunal hiyo ya kimataifa


View attachment 2432687
May be ila hawa watu last time agrument iliyowaokoa ilikuwa Tanzania aina bilateral arguments na S.A ya kukadhia kesi za migogoro (I got the thinking waliokotea hiyo notion humu humu JF kwenye majibizano ya ndege iliposhikwa).

Tatizo lao baada ya kushinda kesi awakuwachukulia hatua S.A ata za kudai fidia ya loss of business for grounding our plane against the law nor compensation on the legal costs which the nation incurred.

Mjomba hii dunia ukikubali kuwa zuzu watu watakupanda hadi kichwani; ndio Tanzania ilipo kwenye legal matters tunaonekana mazuzu and easy pick.
 
Back
Top Bottom