Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Wakati wa Mwendazake, tuliambiwa haya mambo yalikuwa yanatokea kwasababu Mwendazake alikuwa anapambana na mabeberu na mafisadi katika vita ya kiuchumi.

Sasa leo Mwendazake hayupo, je hiyo vita ya kiuchumi nani anapambana nayo?

Serikali ya Mama Samia na yenyewe iko katika vita ya kiuchumi na mabeberu?

Au tutasingizia tena wapinzani waliokuwa wanachelewesha maendeleo?

Nchi ngumu sana hii!
Nidandie kwenye hoja yako hii, nami niongeze maswali:

Hii ardhi aliyonyang'anywa huyo mwekezaji wa sukari, ni hiyo hiyo aliyopewa Bakresa?

Je, huko kwa Bakresa hapakuwa na wananchi waliokuwa wakilima mashamba yao?

Bomba la mafuta ya Uganda linapata shida kupata pesa, kwa vile wananchi wanadaiwa hawakupewa haki zao stahili, je hawa Waswedi wao maswala ya wananchi hayakuwahusu, au ndiyo 'double standards' zinazotegemewa?

Sasa tumekubali kujisalimisha kwa hawa wakubwa, lakini naona bado haitatosha, tutakamuliwa hadi tone la mwisho la damu.
 
Ndege ya ATCL imezuiwa nchini Uholanzi kwa amri ya mahakama ya ICSID (Hii ni Mahakama inayoshughulikia migogoro ya uwekezaji ya Kimataifa). Ni mahakama iliyopo chini ya Benki ya Dunia.

Amri hiyo ya mahakama ya kuzuia ndege ya ATCL aina ya Airbus 320 ambayo ni mali ya walipakodi wa Tanzania - imetolewa baada ya kampuni ya EcoDevelopment ya Sweden kushinda shauri dhidi ya serikali ya Tanzania, ikidai fidia ya Dola za Kimarekani Milioni 165 (TZS Bilioni 380). Madai hayo yalitokana na kitendo cha Serikali ya Tanzania kufuta hati ya umiliki wa ardhi mjini Bagamoyo ambapo kampuni ya EcoDevelopment iliwekeza kwa miaka 10, mradi wa kuzalisha Sukari, Umeme na Mafuta.
------

Habari ya hii kesi ni nzito, na serikali imekata rufaa lakini bado haijaajiri kampuni ya sheria ya kuitetea. Mwanasheria mkuu Eliezer Feleshi hajato taarifa zote. Lakini hii kesi ni nzito. Kuna mashirika makubwa kama Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrka nk.

Tuendelee kufuatilia.
FB_IMG_1669913913926.jpg
 
Hivi comment kama hizi huwa mnatoa bila kufikiri? Beberu gani aje kugombana na nchi omba omba? Yaani hata budget yako unakopeshwa au kupewa tu hlafu u-compete na bebeeru? GDP yako ni ngapi; your trade volume comparison by world standard ni negligible! my foot! kwani google mnaitumiaje; for watching porn!
LOoooh, mkuu, nawe hapa umejikunja na kujisikia umejitutumua sana kwa haya uliyoweka hapa?

Hivi wewe huoni utajiri uliopo hapa, ambao watu kama wewe mmelaza akili kabisa kama maiti; na kudhani kwamba wengine wote duniani hawauoni?

Hebu tafakari vizuri andiko lako hili, tena naona kuna misukule wenye akili mbovu na wao wanakuunga mkono hapa!
 
Hakuna anaebishia hilo na kwenye moja ya post ata ni mimi nimeelezea stabilisation clause is the norm kwenye FDI.

Sasa kwakuwa kesi imesikilizwa nje ya nchi aina maana specific contract terms both expressed and implied (including Tanzania statue laws) are ignored. Moreover breach and damages are based on investment evidence, hilo shamba lilikuwa bado pori wakati hati inafutwa sasa how they justify hiyo hasara.
Tatizo ni utaratibu uliotumika kufuta umiliki haukuzingatia mkataba wa mwekezaji na Tanzania. Kumbuka kuwa Magufuli alikuwa na haiba ya kufanya maamuzi ya kibabe. Kwani mwaka 2007/08 alipokamata meli ya uvuvi akiwa Waziri wa uvuvi wewe Mayor Quimby ulikuwa wapi?

Kuna vile vipengere ambavyo Tanzania haiku tekeleza hususan kwenye mazingira, hivyo ikapelekea yeye kutoendeleza hilo shamba.
 
Wangekamata kimbinyiko na Sai Baba mbona mapema2 tungeandamana! Iyo mbanga wacha2 wakae nayo uko, sisi dola1 kwa cku hatuna ndoto ya kuisogelea hilo dubwana achilia mbali kuipanda
 
Muwekezaji wa Kiswidi aliyeshinda tuzo ya Dola za kimarekani milioni 165 ameishawishi Mahakama ya Uholanzi kuishikilia ndege ndege ya Tanzania wakati pingamizi zikiendelea.

Mgogoro huo umetokana na kufutwa mpango wa kuendeleza mashamba ya sukari wilayani Bagamoyo umbao ulikuwa na malengo ya kuzalisha sukari kwaajili ya kuuza nje ya nchi na ethanol ili kuzalishia umeme.

Mradi huo ulipata pingamizi kutoka kwa wanaharakati wa ndani wakiwawakilisha wakulima 1300 ambao bado walikuwa wakitumia ardhi hiyo. Pia muwekezaji huyo aliilaumu Serikali ya Tanzania kushindwa kutengeneza kanuni za sekta ya sukari na kufanya ardhi hiyo kuwa na vikwazo.

Serikali mwaka 2016 ilifuta hati hiyo. Aprili, 2022 Mahakama iliipa ushindi wa tuzo yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 165 Kampuni ya EcoDevelopment. June 16, ikiwa ni siku moja baada ya ICSID kupokea maombi ya Tanzania kubatilisha hukumu hiyo, Ecodevelopment ilipata ruhusa (leave) kutoka kwenye mahakama ya wilaya ya The Hague kutimiza na maamuzi ya upande mmoja kutoka kwa jaji wa Limburg yaliyotoa kibali cha kuishikilia ndege.

Ndege ya Airbus A220 ilikuwa tayari imenyimwa ruhusa ya kupaa tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen taarifa ikisema ni kutokana na matatizo kwenye injini.

Zaidi, jisomee=> Hapa

==========

A Swedish investor that won a US$165 million award against Tanzania has persuaded a Dutch court to uphold the attachment of an aircraft owned by the east African state, even though ICSID has stayed enforcement pending annulment proceedings.

On 8 November, a preliminary relief judge in the District Court of Limburg refused to lift the attachment granted in favour of Swedish entity EcoDevelopment in Europe.

Tanzania argued the attachment was unlawful because it was obtained a day after the state had applied to ICSID to annul EcoDevelopment’s award. But the judge reasoned that ICSID’s provisional stay of enforcement of the award only took effect on the date that the institution registered the state’s annulment request.

The Swedish company is using Houthoff in the Dutch courts and Mannheimer Swartling in the ICSID proceedings. Tanzania has turned to Buren Legal for the attachment proceedings but has not appointed external counsel in the arbitration or annulment proceedings.

EcoDevelopment, which is owned by 18 Swedish citizens and business leaders, brought its ICSID claim in 2017 under the Sweden-Tanzania bilateral investment treaty.

The dispute concerned abandoned plans to develop a sugar cane project in Bagamoyo on the eastern coast of Tanzania. The project was intended to produce sugar for export as well as ethanol for use in generating electricity.

But the project encountered opposition from local activists on behalf of 1,300 farmers still using the land. The investor also blamed the government for failing to introduce a new sugar industry regulation and provide land free from incumbrance. A new government under President John Magufuli revoked the title to the land in 2016.

In April this year, an ICSID tribunal chaired by the UK’s Sir Christopher Greenwood KC and including Stanimir Alexandrov and Funke Adekoya SAN issued an award in EcoDevelopment’s favour and ordered Tanzania to pay nearly US$165 million.

On 16 June, a day after ICSID received Tanzania’s application to annul the award, EcoDevelopment obtained leave from the District Court of The Hague to pursue enforcement; and an ex parte ruling from the provisional relief judge in Limburg permitting the plane seizure.

The Airbus A220 plane, operated by the state’s flag carrier Air Tanzania, had already been grounded at Maastricht Aachen Airport since January this year, reportedly because of engine problems.

ICSID eventually registered the annulment request on 21 June and notified the parties of the provisional stay of enforcement.

An ICSID ad hoc committee chaired by ex-Milbank partner Michael Nolan and including Carole Malinvaud of Gide Loyrette Nouel and Kenya’s former attorney general Githu Muigai issued a decision in September continuing the stay of enforcement.

Tanzania meanwhile applied to the Limburg court to lift the attachment and prohibit EcoDevelopment from seeking any further attachment based on the ICSID award while the annulment proceedings are pending.

The state argued that the effect of the automatic stay granted by ICSID was that the award was not provisionally enforceable and that the attachment was thus granted unlawfully. It contended that the Dutch courts were bound to recognise the ICSID stay decision as binding.

Tanzania also argued that the attachment had affected its interests in a disproportionately serious way and that as a national government it had sufficient assets within and outside its territory to ensure the award would be paid.

But in this month’s decision, Judge KJH Hoofs said it was not clear from the ICSID Convention when the provisional stay commences. While Christoph Schreuer’s well-known commentary on the convention suggests it takes effect from the date of an annulment application, the judge said ICSID case law suggested it took effect upon the date of its registration by ICSID. The judge therefore concluded that the attachment was lawful.

The judge also said the ad hoc committee’s decision to continue the stay did not affect the attachment, and that Dutch law applied to the execution of the award. She said she could only lift an enforcement order if the executing party had no reasonable interest in using their power of enforcement, which Tanzania had not demonstrated.

She also declined to prohibit further attachments, observing that EcoDevelopment had already stated that it would not sell the aircraft or take further enforcement measures while the annulment proceeding was ongoing.

Earlier this month, the ad hoc committee rejected an unusual attempt by EcoDevelopment to have Tanzania’s annulment request thrown out under ICSID rule 41(5), which allows for expedited dismissal of claims that are manifestly without legal merit. The mechanism is more commonly used in ICSID arbitrations but was invoked by Panama last year in a failed bid to knock out an annulment request by Dominion Minerals.

United Republic of Tanzania v. EcoDevelopment in Europe AB & others (C/03/310349/KG SA 22-395)

In the District Court of Limburg
Uholanzi kwa kiswahili kwajina jingine inaitwaje?..
 
Back
Top Bottom