Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.

Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.


Big up bro.View attachment 1466999
Watalii wawili au wageni wa ccm chama mfu
 
Naibu waziri wa afya Dkt. Mollel amesema ameridhishwa na namna Waziri wa Utalii Dkt. Kigwangalla alivyowapokea kundi la watalii katika uwanja wa KIA.

Dkt. Mollel amesema Kigwangalla alifuata taratibu zote za afya kama zilivyobainishwa katika mwongozo wa Wizara yake. Dkt. Mollel amesema hayo wakati akiukagua uwanja wa KIA.

Chanzo: ITV habari!
Watalii wawili itakua wamekuja na cargo plane
 
Huyo ndiyo mmoja wa wale wanaoitisha mkutano kuzindua choo cha stendi.
 
Mbona hajavaa baaakoa?? Wageni si watakimbiaaaa
 
Hao mawaziri ilibidi wakabidhi office mapema warudi kwao wakalime
Kinachojitokeza sasa hivi ni kuwa ushamba unapamba moto mjini kwa kasi wakati vijijini wameshtuka.
Sasa ona wote hawa walio JF wakiunga mkono ushamba huu wako mjini na hawashtuki huu ubwege unaofanywa na ccm.
Nakuhakikishia kungekuwa na tumehuru mwaka huu ccm wangeona maajabu ya kutoswa hadi vijijini maana huko wamewashtukia vibaya mno.
 
kama zimo ujue Kuna mtu mwenye nazo.anapokelewa.Ni Nani it is non of your business


Nyie Ma CCM ndio ndiyo too stupid to differentiate between Beberu na mwenye nazo.

Wakiwapinga juu ya ukandamizaji wenu mnawaita mabeberu, wakija na mkwanja mnawapokea kwa heshima zote na unyenyekevu kama mwanamke malay*** anapoona pesa za Mwanamume.

Mkiona pesa tu utu wenu unakwisha kabisa na mnasahau mliyoyasema jana, kuleni matapishi yenu.
 
What an idiot!!!!!!!!


1591137356198.png
 
Ndege ya abiria ya Ethiopia air line yaja na watalii, mbona kiswahili chepesi tu
 
Wewe una facts?
Aliekuambia kuwa mtu huwa ana fact au kumiliki fact ni nani? unaelewa maana ya fact?Unaelewa kuwa fact ni jambo ambalo limethibitishwa kuwa lipo na ni la ukweli na wala hakuna haja ya mtu kuwa nalo au kuliongea ili kuthibitisha uwepo wake?Nikikuita kuwa wewe ni kilaza utanilaumu?
 
Back
Top Bottom