Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Naibu waziri wa afya Dkt. Mollel amesema ameridhishwa na namna Waziri wa Utalii Dkt. Kigwangalla alivyowapokea kundi la watalii katika uwanja wa KIA.

Dkt. Mollel amesema Kigwangalla alifuata taratibu zote za afya kama zilivyobainishwa katika mwongozo wa Wizara yake. Dkt. Mollel amesema hayo wakati akiukagua uwanja wa KIA.

Chanzo: ITV habari!
Mataga mnachekesha kweli
 
Ujinga, ushamba na upuuzi mtupu.
Waziri anakwenda airport kukagua watalii?!
Amekosa kazi ya kufanya?
Very disgusting scenario.
 
Naibu waziri wa afya Dkt. Mollel amesema ameridhishwa na namna Waziri wa Utalii Dkt. Kigwangalla alivyowapokea kundi la watalii katika uwanja wa KIA.

Dkt. Mollel amesema Kigwangalla alifuata taratibu zote za afya kama zilivyobainishwa katika mwongozo wa Wizara yake. Dkt. Mollel amesema hayo wakati akiukagua uwanja wa KIA.

Chanzo: ITV habari!
Dk Mollel ni Jembe. Ndio maana Chadema wanamchukia.
 
Haya tuambie huyo ni tajiri au Celeb, gani, anaitwa nani, katoka nchi gani??--- CCM taabu kweli!!!--- aliyekuwa mwenyekiti wenu alishawaambia; Akili za kuambiwa changanya na zako.
Hayakuhusu ulitakiwa ujue Hilo kabla tatizo chadema mnataka kushika nchi wakati ujinga wa mambo madogo haya ya protocol hamjui.Ulitakiwa ukiona tu ile protocol akili zako.kama zimo ujue Kuna mtu mwenye nazo.anapokelewa.Ni Nani it is non of your business

Bilionea akiwa Nchi yeyote hupokelewaa na viongozi wazito na si lazima atangazwe ila ukiona Kuna Waziri au kiongozi wa serikali akipokea mgeni jua Kuna mgeni mzito so lazima ujue Ni Nani .Ndio.maana hata Michael Jackson alipokuja alipokelewa airport na waziri , Chadema Kama hamjui protocol hata za vitu vidogo hivi Ikulu mnaenda kufuata Nini? You are too stupid hata vitu vidogo Kama hiki
 
Huyu ni mmoja ya mawaziri vilaza sana.yaani sijui akili yake ikoje...very bwege
 
Hivi huu ujinga wa sasa hivi wanaccm walikuwa nao, ila akakosekana kiongozi wa kufanya huo ujinga uonekane, au huu ujinga ndio umeanza sasa?
Hapo kuna ujinga gani nyie wana Chadema mliolaniwa. Utalii ni source of income katika mataifa mengi. Hata ulaya wamefungua na wanaonyesha ukarimu. Nyie hamuitakii mema Tanzania.
 
Ni kweli, hivi Kigwangalla ana ulemavu wa macho (kipofu)? Naona kavaa miwani ya watu wenye ulemavu wa macho.
Mbona mikengeza ya Mbowe huisemi? Ule sio ulemavu wa macho!
 
Hii serikali inafanya vitu vya kijinga hadi vinatia hasira. Molel na kigwala wote ni madoctor ila ujinga wanaofanya ni sawa na wagonjwa wa milembe.
 
Yes hii inaonesha dhahir kua TANZANIA watu wameelewa kuwa tumeishinda Corona
 
Hapo kuna ujinga gani nyie wana Chadema mliolaniwa. Utalii ni source of income katika mataifa mengi. Hata ulaya wamefungua na wanaonyesha ukarimu. Nyie hamuitakii mema Tanzania.

Hakuna asiyejua kuwa utalii ni chanzo cha mapato. Lakini mawaziri wawili tena wanaume waliokamilika kabisa wanachoma fedha za umma kwenda kujichekesha kwa wazungu wawili? Si ajabu hata ukute hao wazungu wamewaleta wao ili kuwakoga wakosoaji wa mitandaoni.
 
Ujinga au uwajibikaji wacha watu wajenge nchi sio wapangaji nyie
Hivi huu ujinga wa sasa hivi wanaccm walikuwa nao, ila akakosekana kiongozi wa kufanya huo ujinga uonekane, au huu ujinga ndio umeanza sasa?
 
Hapo kuna ujinga gani nyie wana Chadema mliolaniwa. Utalii ni source of income katika mataifa mengi. Hata ulaya wamefungua na wanaonyesha ukarimu. Nyie hamuitakii mema Tanzania.
Apo cost iliyotumika kupokea watalii wawili ni mara 100 ya posa watakayotuachia hapa nchini
 
Back
Top Bottom