sio kutetea kibrua, kila mtalii ana thamani sawa sawa kwetu hata angekuja mmoja au mia mapokezi yangekuwa ni haohayo na hii ndo maana halisi ya ukarimu wa tanzania, hongera kwako mh. waziri wa utalii.anafagilia kibarua chake... hali tete.
huyu jamaa akifika August sijui!!