Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.
Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.
Big up bro.View attachment 1466999
Watalii wawili.
Hata bilioni ilianza na moja! Bila kuanza na moja huwezi kufikisha bilioni! We are on the go!!!Watalii wawili.
Midege yetu iko chato eapotiKweli mwanzo mgumu.
Mwanzo mgumuTanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.
Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.
Big up bro.View attachment 1466999
anafagilia kibarua chake... hali tete.Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.
Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.
Big up bro.View attachment 1466999
lakini ni mtalii sio?ain't two tourists but just one.
Inaonekana unamengi sana mkuu...huyu jamaa akifika August sijui!!
Kiongozi wa Taifa amemteua, sasa wewe nati zilizo vizuri endelea kujenga Taifa hapo ulipoTangu anaapishwa nilimuona kama kuna nati zimecheza hivi