Mwanzo mgumu
Wajue hata biashara za watu binafsi ziko hivi kwa muda mrefu siyo kudai kodi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo mgumu
Ukibakwa hatimaye utaenda kuoga labda uuawe kwenye process za kubania mbunye.Hata bilioni ilianza na moja! Bila kuanza na moja huwezi kufikisha bilioni! We are on the go!!!
Mkuu, pitia vzuri mambo ya nchi yako, Hapo yupo waziri wa Utalii na naibu waziri wa afya na sio naibu wa utalii.hii kali, watalii wa2 ndio hadi jamaa kaambatana na naibu wake...hii awamu kwa misifa haijapata kutokea!.
Midege yetu iko chato eapoti
Acha kumtukana Mheshimiwa kiujanja ujanja. Hana kazi ya kufanya ofisiniTanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.
Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.
Big up bro.View attachment 1466999
Huyo basi bilionea ndege lote mtu mmoja .kuna watu wazito mtu mmoja anakuwa mzito bilionea mwenye pesaWewe umeongeza chumvi, sio watalii wawili ni mtalii mmoja tu.
ain't two tourists but just one.
Amefata nini hapo ?Kiongozi wa Taifa amemteua, sasa wewe nati zilizo vizuri endelea kujenga Taifa hapo ulipo
Watalii wameichagua Tanzania
Huyo basi bilionea ndege lote mtu mmoja .kuna watu wazito mtu mmoja anakuwa mzito bilionea mwenye pesa
Mfano Bill gates peke yake akija unataka apokelelewaje.Chadema akili hamna sio kila mtu ana hadhi sawa na nyie
Uwezo wao wa hela unalingana na malofa wote wa chadema? Mapokezi ya mwenye pesa huwezi linganisha na ya ya chadema wote .Ukiona Waziri kainuka jua wenye nazo wanaingia nchini hoteli ya kulala mbugani midola kibao kwa sikuWatalii wawili.
Watalii wameichagua Tanzania
Inaonekana huijui vema hiyo sektahii kali, watalii wa2 ndio hadi jamaa kaambatana na naibu wake...hii awamu kwa misifa haijapata kutokea!.