Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Ndege ya watalii yapokelewa Uwanja wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA)

Mzee wa mitulinga,tiba mbadala. Jamaa anajitahidi sana,anapigana kuhakikisha sekta ya utalii inarudi mahali pake. Njaa kali huko porini. Big up Dr Kigwa
 
Hata bilioni ilianza na moja! Bila kuanza na moja huwezi kufikisha bilioni! We are on the go!!!
Ukibakwa hatimaye utaenda kuoga labda uuawe kwenye process za kubania mbunye.

Mnaoga sasa!
 
Afu huyu Kingwangala mbn kakaa kishambashamba sana mcheki na hiyo miwani yake anafanya maigizo ya kijinga
 
hii kali, watalii wa2 ndio hadi jamaa kaambatana na naibu wake...hii awamu kwa misifa haijapata kutokea!.
Mkuu, pitia vzuri mambo ya nchi yako, Hapo yupo waziri wa Utalii na naibu waziri wa afya na sio naibu wa utalii.
Asante
 
Hivi wanavyoshuka kwenye airport zao wakati wa kurudi hawapimwi korona?
 
Tanzania imebadirika.. vijana wanachapa kazi.
Leo wakati dunia bado haijaamka kuna watalio wawili ambao wanaonekana kwenye picha wamepokelewa na waziri wa utalii.

Hii ji heshima kubwa sana kwa watalii wetu.. na waziri kingwangala ameonyesha kwamba yeye ni mtu wa kazi na si mtu wa cheo na kuletewa chai ofisini.


Big up bro.View attachment 1466999
Acha kumtukana Mheshimiwa kiujanja ujanja. Hana kazi ya kufanya ofisini
 
Wewe umeongeza chumvi, sio watalii wawili ni mtalii mmoja tu.

ain't two tourists but just one.
Huyo basi bilionea ndege lote mtu mmoja .kuna watu wazito mtu mmoja anakuwa mzito bilionea mwenye pesa

Mfano Bill gates peke yake akija unataka apokelelewaje.Chadema akili hamna sio kila mtu ana hadhi sawa na nyie
 
Naibu waziri wa afya Dkt. Mollel amesema ameridhishwa na namna Waziri wa Utalii Dkt. Kigwangalla alivyowapokea kundi la watalii katika uwanja wa KIA.

Dkt. Mollel amesema Kigwangalla alifuata taratibu zote za afya kama zilivyobainishwa katika mwongozo wa Wizara yake. Dkt. Mollel amesema hayo wakati akiukagua uwanja wa KIA.

Chanzo: ITV habari!
 
Huyo basi bilionea ndege lote mtu mmoja .kuna watu wazito mtu mmoja anakuwa mzito bilionea mwenye pesa

Mfano Bill gates peke yake akija unataka apokelelewaje.Chadema akili hamna sio kila mtu ana hadhi sawa na nyie

Huu ujinga ulikuwa nao ila akakosekana kiongozi wa kufanya ujinga wako uonekane, au ni ujinga ulioupata baada ya awamu hii kuingia madarakani?
 
Hii inafaa iingie kny record ya dunia, hakuwa na kazi???!! Bora hata angeenda zake instagram kupost picha
 
Yani utafikiri hii sekta ya utalii ndo imeanzishwa mwaka huu!!
 
Ndio tuliambiwa wameanza kumiminika? Tuache usanii Wajameni
 
Watalii wawili.
Uwezo wao wa hela unalingana na malofa wote wa chadema? Mapokezi ya mwenye pesa huwezi linganisha na ya ya chadema wote .Ukiona Waziri kainuka jua wenye nazo wanaingia nchini hoteli ya kulala mbugani midola kibao kwa siku

Chadema umaskini unawasumbua ndio.maana mlitimua Hadi matajiri akina Lowasa mkawaona Kama ni saizi yenu !!! Ohh ni wanachama wa kawaida!!! Sawa na yeyote!!!

Thinking capacity yenu ndogo mno
 
hii kali, watalii wa2 ndio hadi jamaa kaambatana na naibu wake...hii awamu kwa misifa haijapata kutokea!.
Inaonekana huijui vema hiyo sekta
Mtalli mmoja tu anaweza kuja kulala chumba cha dola elf kumi kwa siku,akakaa siku 7,bado hajalipa kuuwa wanyama pori n.k,
Inategemea na hadhi ya mtalii,kuna viongozi wastaafu huko duniani,wafalme watoto wa wafalme na wafanya biashara wakubwa tu
Romam Abramovich alikuja na wasaidizi 45
 
Back
Top Bottom