Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

Screenshot_2023-08-01-12-02-29-03_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
Screenshot_2023-08-01-12-09-38-95_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
Screenshot_2023-08-01-12-10-06-40_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
Screenshot_2023-08-01-12-10-16-00_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
Screenshot_2023-08-01-12-54-27-77_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg


Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah![emoji35][emoji848][emoji2827]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom