Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Umepaniki nn mkuu?
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Mbona unatukana? Wewe ndo Rubani?
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836
Asante Teknologia na wazalendo wenye uchungu na Tanganyika...kelele kama hizi zitapunguza kasi ya uharibifu wa nyani shambani.
 
Mnafikri kwenye nchi ndege zinajirukia tu bila taarifa kwa vyombo husika?

Kondoo naona wamekurupuka kutoka kwenye singizii mzito, ngojeni mchunga wenu aamke.
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.

Air charter......Zipo nyingi sana zinatoka mbugani kuelekea Zanzibar,Dar Kilimanjaro.. Hapa atawadanganya na atawapata wasiojua hivi vitu

Usajili wake huu hapa
Manufacturer:Cessna
Model:208B Caravan I Search all Cessna 208B Caravan I
Year built:2008
Construction Number (C/N):208B2035
Aircraft Type:Fixed wing single engine
Number of Seats:12
Number of Engines:1
Engine Type:Turbo-prop
Engine Manufacturer and Model:Pratt & Whitney Canada PT6A-114
Also Registered As:5H-MZE Registered Delivery: 2022-09-06

Aircraft​

Registration Number:5H-CAR
Current Status:De-registered
Delivery Date:2008-10-17
Registration Cancel Date:2016-11-23

594369.jpg
 
Ngege ni haramu kutoka sehemu moja ya Tanzania kwenda nyengine?

Au Zanzibar imewakaa rohoni?

Ilikuwa imebeba Masheikh wa Kiislaam wanalingania dini mbugani.
Aaah kunakuwa na maswali kama ndege itazimwa transpimder, itafichwa usjali wake na vitu vingine alafu iwe inatoka Selous kama hivo alafu inafika Zanzibar inaondoka tena baada ya mda mfupi tu na bado inafichwa! Inafichwa kwanini?
 
Mbona almost precision air zote hazina transponder, inaweza kuwa ni old airplane au vile vidogo ambavo havina transponder
Mimi nilidhani ndege zote zina transponder isipokuwa tu ni either rubani anaamua kuiweka on or off..
Sheria za aviation za Marekani ni kuwa transponder zote lazima ziwe on during the flight.
 
Back
Top Bottom