Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Inakuhus nini kafanye mambo yako, unajipa majukumu yasiyokuhusu na usiyoyaweza kwanini. Mtu mzima umejaa umbea bila haya?
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Tanganyika si ni shamba la bibi au kichwa cha mwendawazi? Watakuwa wamebeba chochote wakitakacho. Labda Uranium
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Pembe zimesalimika kweli
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Imepotea kwenye Radar?! Au imepata ajali nini?! Ilibeba nini?!
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Hao ni washamba wa hovyo, eti haionekani kwenye radar, ye ana radar? Mbona kila siku asubuhi pale Manyara airport ndege zinashusha abiria na kupakia wengine, hizo ni shuttle za kawaida na pale ni zaidi ya hata ndege 20 kwa siku, huyu mshamba sijui ni wapi. Wenzio wanaoishi maeneo ya kitalii wameshazoea hayo mambo. Wanajifanya wanajua kuifuatilia hii serikali, wapumbavu kabisa. Hawamwezi Rais wetu minyau hiyo.
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.


Hoja yako ina mashiko na ukweli but uwasilishaji wako umekuwa kama wa kusutana

Ukisoma hoja ya mleta hoja wala ajaweka wazi Jambo lolote

Yeye ameshangaa kama wengine tunavyoshangaa why haina transponder

Majibu yako yanaweza kuwa sahihi
 
Back
Top Bottom