Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
bashiru na wenzake waliposema hafai ilionekana kama ni ukorofi, lakn muda ume-prove walikua sahihi..........
walaumiwe waliowapinga kina bushiru
 
Kuna ndege imetua uwanja wa ndege Bwagamoyo kwenye nyasi, Leo siku ya pili haijaondoka isijekuwa ndo sampuli hiyooeee
 
Air charter......Zipo nyingi sana zinatoka mbugani kuelekea Zanzibar,Dar Kilimanjaro.. Hapa atawadanganya na atawapata wasiojua hivi vitu

Usajili wake huu hapa
Manufacturer:Cessna
Model:208B Caravan I Search all Cessna 208B Caravan I
Year built:2008
Construction Number (C/N):208B2035
Aircraft Type:Fixed wing single engine
Number of Seats:12
Number of Engines:1
Engine Type:Turbo-prop
Engine Manufacturer and Model:Pratt & Whitney Canada PT6A-114
Also Registered As:5H-MZE Registered Delivery: 2022-09-06

Aircraft​

Registration Number:5H-CAR
Current Status:De-registered
Delivery Date:2008-10-17
Registration Cancel Date:2016-11-23

View attachment 2704938
inabeba simba mtoto labda haha,
wabongo kudanganywa ni simple sana
 
Mbona almost precision air zote hazina transponder, inaweza kuwa ni old airplane au vile vidogo ambavo havina transponder
niliwahi uliza watalaamu wanasema ndege za atr za old model kama zinazotumiwa precision zinatumia ELT au emergence locator transmitter ndio maana hazionekani sana kwenye flightradar. Ila kwenye radar zinaonekana na air traffic controller ku monitor air traffic
 
Hakika mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, anawapeleka nyumbu na mateka wao wachache si mchezo..........wamefadhaika, wamepagawa, wanahaha baada ya kupata mhaho, wanabwabwaja hovyo hovyo wasijue hata wanabwabwajia kitu gani.
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
 

Attachments

  • IMG_20230323_192240.jpg
    IMG_20230323_192240.jpg
    18.3 KB · Views: 5
Back
Top Bottom