Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Ndege yenye namba za usajili 5H-MZE imetoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, ilibeba nini?

Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Sasa mbona umepaniki?
 
Hapo wa kulaumu ni Watanganyika wenzetu inakuwaje Mzanzibar mmoja awapelekeshe na kufanya atakavyo ikiwemo hilo la kuiba maliasili zetu toka mbugani na wao wakakubali tu kama makondoo! Naona wabaya ni Watanganyika wenzetu ambao wanashirikiana naye lakini jumba bovu wanamwangushia Mzanzibar.
we ndio mtanganyika, nchi ya kufikirika, sisi ni watanzania,
 
Hoja yako ina mashiko na ukweli but uwasilishaji wako umekuwa kama wa kusutana

Ukisoma hoja ya mleta hoja wala ajaweka wazi Jambo lolote

Yeye ameshangaa kama wengine tunavyoshangaa why haina transponder

Majibu yako yanaweza kuwa sahihi
Ccm wana hasira sana
 
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo trip zake kila siku na chache huindika airport ya Abeid Karume.
Ushamba ni mzigo bwashee, labda anadhani hiyo app anayo peke yake😂😂😂q🤣🤣🤣
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Ni Bwenyenye mmoja mashuhuri hakutaka kusumbuliwa na Waswahili alikuja kwa kupumzika. Msisumbue ndege za matajiri mtakosa watalii fuatilieni tu ya Hangaya kwani mnamlipia mafuta na ukarabati wengine haiwahusu msiwe malimbukeni
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Nchi iko mikononi mwa majangili na mafisadi papa wasiogusika, kweli Samia ni hatari kwa ustawi wa Tanganyika yetu, Zanzibar ndio Chato ya sasa
 
Kuna post zingine za kijinga sana aisee. Hata hapa kwetu Ilboru kwa Mollel tumeona ndege angani inapita kuelekea uelekeo wa Karatu hatujui imebeba nini. Ila Haji Mbabee anasema labda ni watalii. Tunaomba kama kuna mwingine kaona ndege inapita atoe taarifa kwenye huu uzi wa hovyo.
 
Ndugu yangu ushamba mzigo. Tupeleke watoto wetu nje wapate exposure. Jf imekuwa kituko nowdays
Hata ukipeleka Wabongo wana DNA za Kushamba , unafiki, wizi, wivu, ujinga na upumbavu sugu usioondoka hata uwapeleke duniani kote. Nje ya nchi wanaonekana walivo limbukeni wakirudi Bongo wanavaa makoti yao ya ujinga na upumbavu na kuanza kuitwa waheshimiwa
 
Ndege yenye usajili 5HMZE iliyofichwa taarifa muhimu imeonekana inatoka Selous Game Reserve na kwenda kutua Zanzibar, haijulikani kwanini ndege imezimwa Transponder na bado haijajulikana ndege hiyo kama imebeba watalii au lah!

*********** **************
Update

Ndege imetoka Zanzibar sasa! Bado haijajulika inaenda wapi kwasasa
View attachment 2704836

Ndege imepotea kwenye Radar mara baada ya kufika maeneo hayo.
Ninachoshukhuru sasa hivi kila mtu amekuwa au awe mlinzi wa mali zetu za asili,kama wewe ni mtanganyika sababu kipindi hiki tutaona mengi sana.

Sasa kama wewe mwingine utakuwa dalali wa kukuwadia mali zetu ukisaidiana wageni wanaotorosha mali zetu utajijua akili yako mwenyewe
 
Hao ni washamba wa hovyo, eti haionekani kwenye radar, ye ana radar? Mbona kila siku asubuhi pale Manyara airport ndege zinashusha abiria na kupakia wengine, hizo ni shuttle za kawaida na pale ni zaidi ya hata ndege 20 kwa siku, huyu mshamba sijui ni wapi. Wenzio wanaoishi maeneo ya kitalii wameshazoea hayo mambo. Wanajifanya wanajua kuifuatilia hii serikali, wapumbavu kabisa. Hawamwezi Rais wetu minyau hiyo.
Mchunga ng'ombe huyu
 
Back
Top Bottom