DOKEZO Ndege za Dubai zinaendelea kutua Serengeti! Tunaibiwa

DOKEZO Ndege za Dubai zinaendelea kutua Serengeti! Tunaibiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa nyie ndugu zangu wamasai mnataka watalii washukie KIA tu halafu wasafiri kuelekea mbugani?

Huyo mnyama aliyepanda ndege yupo wapi mkuu?

Nawasihi ndugu zangu wamasai mkubali kubadilika jifunzeni ufugaji wa kisasa. Nyie wachache mliopata elimu pelekeni elimu kwa ndugu na jamaa zenu ili waache tabia ya kuhamahama la sivyo mtaiona serikali chungu kila siku. Dunia inabadilika na nyie badilikeni.
 
Pori tengefu ni kama misitu ya jeshi inayotuzunguka nchi nzima, public access is off limits. Huwezi kupata close-up HD video ya ndege inashuka na kupandisha wanyama. Cameraman alifanya alichoweza katika mazingira yaliyomkabili.

"Iacheni serikali yetu itutumikie" ni mentality za Mtanzania wa pre-1990. Muda umekuacha nyuma.

Enzi hizi wananchi wanachagizwa kujihusisha na majadiliano huru ya mambo yanayowahusu kama sehemu ya mchakato wa demokrasia.

Binafsi siamini watawala kutoka visiwani wana uchungu na Tanganyika.
Kwahiyo ndege ya mwarabu imeshuka kwenye msitu wa jeshi?

Hivi mnawajua wanajeshi nyie jamaa?
 
Ila kiukweli kuna kaupendeleo ka waarabu awamu hii.
Hata uingizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi awamu hii ni hao hao waarabu, sera ya kulinda viwanda vidogo vidogo vya alizet vya wazawa imewekwa kapuni.
Hakuna tena protectinism, wakulima wazawa wapate taabu kwa bei ya alizet yao kuporomoka kwa faida ya waarabu!.
Mafuta ya kupikia yalipanda sana bei hapa nchini hao mnaowaita wazalishaji wadogo hawawezi kukidhi demand ya soko. Kwenye huu mfumuko wa bei anayeumia mwananchi wa kawaida na anayenufaika ni mabwanyenye wachache wazalishaji wa ndani na wala sio hao viwanda vidogo.
 
Tushazoea kuibiwa tuspoibiwa tutakufwa...
nchi nyingine mazungu na maarabu hutengeneza vita za kisiasa ndo waeze kuiba lakini Tz hii wajinga weeengi mmmno haina haja kutengeneza vita unaiba tuu wao wakobize na "Hamoinzi kumwacha kajalala"
Siku tukipata akili kama za Lissu ndipo watatuletea vita tuuwane!!
 
Kwahiyo ndege ya mwarabu imeshuka kwenye msitu wa jeshi?

Hivi mnawajua wanajeshi nyie jamaa
Duuuh! kwanini maneno ya pori tengefu umeyaacha ukachukua maneno ya eneo la jeshi?
Mi nimeona kaandika kua 'pori tengefu ni kama eneo la jeshi',ila ulichomuuliza duuuh!
 
Mnaibiwa kitu gani?

Mbona hata Ndege yenyewe haionekani vizuri ili kujua ni Ndege ya wapi?

Ina maana pia hiyo Ndege imetua ndani ya nchi bila mamlaka husika kujua hilo?
Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?

Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?

Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
Kwenye hili la pololeti tuwe na data za kutosha kabla hatujaongea sana kisiasa ni vizuri tuje na vielelzo tujiridhishe ndiyo tuchukue hatua tusisahau pollution ni yetu sote
 
Go mama Samia, go!
Haters wako wanaishia kuvaa madera tu na kutwerk maana hawana hoja tena......miradi uliyoachiwa umeitekeleza na mingine unaitekeleza (kinyume na matarajio yao). Kama teke la punda anayekufa, wameona wajaribu ushetani wao kwenye dini. Kwa uwezo wa Mungu, watwerkaji hawa watashindwa na vijora vyao kama walivyoshindwa walipojaribu kutaka kukuzuia usiingie ikulu.
 
Back
Top Bottom