uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Waarabu wanaipakua nchi watakavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ndege ya mwarabu imeshuka kwenye msitu wa jeshi?Pori tengefu ni kama misitu ya jeshi inayotuzunguka nchi nzima, public access is off limits. Huwezi kupata close-up HD video ya ndege inashuka na kupandisha wanyama. Cameraman alifanya alichoweza katika mazingira yaliyomkabili.
"Iacheni serikali yetu itutumikie" ni mentality za Mtanzania wa pre-1990. Muda umekuacha nyuma.
Enzi hizi wananchi wanachagizwa kujihusisha na majadiliano huru ya mambo yanayowahusu kama sehemu ya mchakato wa demokrasia.
Binafsi siamini watawala kutoka visiwani wana uchungu na Tanganyika.
Mafuta ya kupikia yalipanda sana bei hapa nchini hao mnaowaita wazalishaji wadogo hawawezi kukidhi demand ya soko. Kwenye huu mfumuko wa bei anayeumia mwananchi wa kawaida na anayenufaika ni mabwanyenye wachache wazalishaji wa ndani na wala sio hao viwanda vidogo.Ila kiukweli kuna kaupendeleo ka waarabu awamu hii.
Hata uingizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi awamu hii ni hao hao waarabu, sera ya kulinda viwanda vidogo vidogo vya alizet vya wazawa imewekwa kapuni.
Hakuna tena protectinism, wakulima wazawa wapate taabu kwa bei ya alizet yao kuporomoka kwa faida ya waarabu!.
Samia ameuza nchi kwa wajomba zake uarabuni. 2025 hatutaki kutawaliwa na Mzanzibari tenaMaasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Msigwa ameikanusha amesema ni upotoshaji tuupuuzeMaasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Wapi ushahidi? Kinachooneshwa hapa hakitoi picha kamili wala ushahidi kuhusiana na madai yako. Thibitisha tafadhaliMaasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Umemaliza.. na hii ndo maana halisi ya nchi kuuzwa, kupigwa mnada...Mkuu tumeshamaliza kukopa saiv zamu ya kurudisha mikopo ya watu
Tena kayaambia machadema kama yana ushahidi yapeleke mamlaka zinazohusika.Msigwa ameikanusha amesema ni upotoshaji tuupuuze
Huyo Lissu wako amejaribu tuuwane miaka nenda rudi lakini ameshindwa kabaki anajifanya mkimbizi huko ubelgiji.…Siku tukipata akili kama za Lissu ndipo watatuletea vita tuuwane!!
Duuuh! kwanini maneno ya pori tengefu umeyaacha ukachukua maneno ya eneo la jeshi?Kwahiyo ndege ya mwarabu imeshuka kwenye msitu wa jeshi?
Hivi mnawajua wanajeshi nyie jamaa
Msigwa wa sasa anajikomba sana ili tu asitumbuliwe maana yuko kwenye timu isyo yake.Msigwa ameikanusha amesema ni upotoshaji tuupuuze
yuko kwenye ile list iliyoombewa kibali kwenye Mkutano Mkuu wa CCM 2022Msigwa wa sasa anajikomba sana ili tu asitumbuliwe maana yuko kwenye timu isyo yake.
Anakaa kwa hofu sana huyu jamaa. Hajiamini. kila kitu anachomoka nacho afu baadae anakuja kuumbuka.yuko kwenye ile list iliyoombewa kibali kwenye Mkutano Mkuu wa CCM 2022
kUna shida ya akili na ugnjwa wa akiliHuyo Lissu wako amejaribu tuuwane miaka nenda rudi lakini ameshindwa kabaki anajifanya mkimbizi huko ubelgiji.
Usilete papara.kUna shida ya akili na ugnjwa wa akili
Mnaibiwa kitu gani?
Mbona hata Ndege yenyewe haionekani vizuri ili kujua ni Ndege ya wapi?
Ina maana pia hiyo Ndege imetua ndani ya nchi bila mamlaka husika kujua hilo?
Kwenye hili la pololeti tuwe na data za kutosha kabla hatujaongea sana kisiasa ni vizuri tuje na vielelzo tujiridhishe ndiyo tuchukue hatua tusisahau pollution ni yetu soteAcheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?
Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?
Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi