Hiyo exchange ya wanyama inafanyika kwa nchi zenye mbuga tayari kama Kenya, South Africa, Botswana.......huwezi kusema unapeleka wanyama kwenye sanctuary uarabuni wakati wao wanatengeneza mbuga za kitalii ili wapige pesa, hapo unakuwa unajipiga mwenyewe risasi mguuni.Hii Nchi , sijui ihamishiwe sayari ya kipekee. Wanyama wanauzwa Bei zinafahamika hata wewe unaweza Kununua. Mia 2 iliopita Rwanda wamefikisha Faru 10 kwenye Akagera national park. Je hao walio wagawia majirani zetu hawawqpendi?
Lakini pia mtakiwa mjue Hawa wanyama wanazaliana wanaugua na wanakufa , Bado tuna na ujangiri.
Yawezekana huko wanako enda siku moja wakaja kuturudishia kama wataweza kuishi.