The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Waarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwinyi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?Hivi issue za Lolindo, Serengeti kwa nini huwa zinaibuka sana wakati rais akitoea Zanzibar? Hata wale wapakistan walosafirisha wanyama ilikuwa kipindi cha JK. Sema JK siyo wa Znz ila ni mwenzetu.
By the way kwa nini hizi mambo wasifanye kwa ndugu zao wa znz au hata pwani?
johnthebaptist
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....