Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Jf labda kama unajizima data tunataka habari yenye ukamilifu si kivideo uchwara uje uteke akili za watu, tupia mzigo mzima tuone wizi wenyewe. Kumbe unataka katiba mpya ili uwafunge watu na si kwa hatma ya nchi yako kwa baadae , tambua pia nahitaji katiba mpya ili nchi iweze kusonga mbele kwa vizazi na vizazi.Iko Twitter
Acha kujitoa ufahamu
Nchi inaibiwa kuliko unavyojua
Madini wanyama imegeuka mali ya wachache
Msikomaze shingo
Katiba Mpya muhimu tufunge wezi
Mkuu,kuna watu wamekaririshwa mambo miaka nenda rudi na wameshindwa kujitoa kwenye hiyo fixed mind mentality,miaka yote mawazo yao ni hayo hayo tu,sijui tunaibiwa Simba,mara tunakuja kutawaliwa tena,Dunia inaenda mbele ila wao mawazo yao yapo pale pale!Mijitu mingine kutumia akili kidogo tu shida, kuna ndege itaingia nchini bila kupata ruhusa na mamlaka. Halafu unaibiwa nini Simba? Fisi au Sungura mbona tunatafuta soko la bidhaa kwenda nje tupate pesa sasa shida iko wapi kama wanauza wanyama kama wako wengi shida iko wapi.
Wewe umejuaje kama kaandika kimakosa makusudi? Kwahiyo ukiandika kimakosa makusudi inakua sio kosa?Huoni kaandika kimakosa makusudi, mzee upo slow mno kubaini.
Mbona anachunga ng'ombe hapo, public access ipi unaizungumzia?.Pori tengefu ni kama misitu ya jeshi inayotuzunguka nchi nzima, public access is off limits. Huwezi kupata close-up HD video ya ndege inashuka na kupandisha wanyama. Cameraman alifanya alichoweza katika mazingira yaliyomkabili.
"Iacheni serikali yetu itutumikie" ni mentality za Mtanzania wa pre-1990. Muda umekuacha nyuma.
Enzi hizi wananchi wanachagizwa kujihusisha na majadiliano huru ya mambo yanayowahusu kama sehemu ya mchakato wa demokrasia.
Binafsi siamini watawala kutoka visiwani wana uchungu na Tanganyika.
Ndiyo, ni shamba la bibi, na hakuna chochote mnachoweza kufanya.Maskini Tanzania
Tangu lini hayo mafuta ilikuwa tabu kuyaingiza? wakati wa corona mafuta yaliyotuokoa kureplace ya alizeti wakati wa uhaba mkali si yalitoka uturuki? au 2020 rais alikuwa anapendelea waarabu pia?.Ila kiukweli kuna kaupendeleo ka waarabu awamu hii.
Hata uingizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi awamu hii ni hao hao waarabu, sera ya kulinda viwanda vidogo vidogo vya alizet vya wazawa imewekwa kapuni.
Hakuna tena protectinism, wakulima wazawa wapate taabu kwa bei ya alizet yao kuporomoka kwa faida ya waarabu!.
Usalama wetu uko shakaniMaasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Raisi wenu Mama Samia si ndio ameruhusu Wanyama Wauzwe ?Alivyokwenda Uarabuni kwenye Ziara yake si aliwaambia Waarabu wanaotaka wanyama waje kuwachukuwa. Mpaka mwaka 2030 Tanzania kutakuwa hakuna tena Wanyama Twiga Tembo ,Vifaru Simba, Chui na Chita wote watakuwa hakuna nchini Tanzania. Watalii hawata kuja Tanzania kutembelea mbuga za Wanyama. Kiongozi wetu mpendwa RIP Rais Magufuli aliwahi kutabiri haya hapo unayo yaona.Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Wenye akili walisha yasema haya tangu sekunde ya kwanza ya tangazoMaasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424
Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?
Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?
Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
Wewe Kwa uelewa wako ndege zinazotua mbugani zote ni za waarabu na zote zinakuja kubeba wanyama?...huko mbugani hakuna ndege zinazotua Kwa utalii wala kubeba wazungu?Kama unajua ni uongo. Tuambie basi hiyo ndege inafanya nini huko.