hamumwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 754
- 664
Lini nchi iliyojaa misukule ikaibiwa watu wanakuja tu na kulindwa na magobole mlionunua kwaoUnaibiwa nini?
Nani anayekuibia?
We badala ufanye kazi unalia unaibiwa na kitu kisichokufaidisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini nchi iliyojaa misukule ikaibiwa watu wanakuja tu na kulindwa na magobole mlionunua kwaoUnaibiwa nini?
Nani anayekuibia?
We badala ufanye kazi unalia unaibiwa na kitu kisichokufaidisha
Nakukubali sana The Boss always composed, objective, and impartial. Natamani viongozi wa serikali wangekua na mentality Yako tungekua mbali sana.Mimi nimeiamini serikali kuwa wamasai wanafanya uharibifu wa mazingira...Hadi hapo kutakapo jitokeza habari zingine za uhakika ndo ntawahukumu tofauti..sitaki kuihukumu serikali Kwa kuhisi au kusikia habari ambazo hazina ukweli
Hizo Ndege zenyewe za kutua Kila siku zinatua wapi ? Uongo mtupu TU.Kama unasema rushwa ni tatizo na inawezekana rushwa ndo inaleta tatizo lolote siwezi kukupinga since rushwa hutolewa Kwa Siri...
Mimi nnachopinga mtu kusema utawala huu wa Samia "umewaachia waarabu wafanye wanachotaka Kwa sababu labda Kwa kuwa Samia ni muislam"..wakati hawa waarabu wawekezaji wakikuwepo wakati wa Magufuli na kulikuwa hakuna makelele yeyote licha ya ndege zao kuendelea kutua huko Mbugani..
Kama kulikuwa na shida Magufuli alishindwa nini kuwatimua?..
Nnachopinga ni narrative kuwa kuwa a Muslim President kawaacha waarabu wafanye wanachotaka...
Kama narrative ni CCM wako corrupt..hii nayo si mpaka ithibitishwe..
Ka video kama haka kweli kanathibitisha nini?
Mleta mada ndio ana burden of proof.Ukileta mada hapa JF inayohitaji ushahidi basi wewe uliyeileta hiyo mada ndio unawajibika kuleta ushahidi.Nani kakwambia kuwa ni mimi ndiye niliyeiona hiyo ndege. Muulize mleta Uzi.
Na wewe unayejaribu kupinga tupe ushahidi kuwa mleta mada anadanganya.
Wamasai niwakwanza kupisha haya mapoli, hivi unafahamu hiki kinacho itwa Burigi national park, miaka 90 -97 kulikua na Simba nyati na wanyama wengine?Nimekuelewa
Tupe tathmini yako kuhusu wamasai kuondolewa kimabavu kutoka Loliondo awamu hii.
Huna logic yoyote, mahaba tu ya kijinga.Sio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....
Hiyo narration kuwa Samia anawapendelea waarabu ni ya kipumbavu sana ...kama waarabu hawafai mngemwambia Magufuli awatimue au Mkapa awatimue ..
Samia kawakuta hao wawekezaji WA kiarabu wapo kisheria ..
Na Samia akimaliza mda wake akija Rais mwingine mkristo hata midege itue 100 huko mbugani mtanyamaza kimyaa Kwa unafiki wenu
Sera za kulinda viwanda vipi? Mnaongea mnacho weza kusimamia na kukitetea. Mafuta ya kula yamepanda Bei isngikua huko kuagiza hivi vibaba vya hum ndani zungeuziwa kibaba 10,000Ila kiukweli kuna kaupendeleo ka waarabu awamu hii.
Hata uingizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi awamu hii ni hao hao waarabu, sera ya kulinda viwanda vidogo vidogo vya alizet vya wazawa imewekwa kapuni.
Hakuna tena protectinism, wakulima wazawa wapate taabu kwa bei ya alizet yao kuporomoka kwa faida ya waarabu!.
Ongeza na za utafiti, na video za kibiashara. Wanadhani hizi documentary tunazo ziona kwenye Ile chanel ya Magu zlipigwa na watembea kwa miguu?Wewe Kwa uelewa wako ndege zinazotua mbugani zote ni za waarabu na zote zinakuja kubeba wanyama?...huko mbugani hakuna ndege zinazotua Kwa utalii wala kubeba wazungu?
Ungefunga tu hilo bakuli lako. Kila ishu unajiona wewe ndio msemaji. Wewe ni K.Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?
Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?
Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
Jamaa mzito kuelewa hata makusudi ya muandishi kuandika hivyo.Huoni kaandika kimakosa makusudi, mzee upo slow mno kubaini.
Wewe mshamba utakuwa na maswali gani yenye tija!?Jibu maswali yangu kwa kuweka ushahidi hapa ili tumalize ubishi
Hata kama ni Mmasai wa Kenya! Wanyama hawatoroshwi kwenda nje? Na hasa huko Uarabuni?Tunarudi kulekule kwenye siasa za majitaka. Kuchafua serikali au viongozi wa serikali bila ushahidi wowote afu 2025 wakikatwa kutokana na kashfa hizo wanakuja kusafishwa kwa kupewa nafasi ya kugombea uraisi au ubunge na walewale waliowachafua.
Muongeaji ndani ya video ukisikiliza vizuri utagundua kwamba ni mmoja kati ya wale wamasai wa Kenya waliokuwa wanatumia ardhi yetu kama shamba lao la bibi la kulishia mifugo yao, kuuwa tembo wetu na kujivinjari.
Rubbish.Huna logic yoyote, mahaba tu ya kijinga.
Samia ana undugu na waarabu, hii ndio logic, na zaidi, huu ujinga umefufuka kwa nguvu baada ya Samia kuingia madarakani, hii pia ndio logic, tena hasa baada ya ile ziara yake Uarabuni, hizi ndio logic, sio mahaba yako unayaita logic.
Zaidi, wakati wa Magufuli huu upuuzi haukuwepo hata kama mkataba wa wizi ulikuwepo, ulitaka kelele zipigwe kwa jambo ambalo halikuwa likitokea? au wewe uliwahi kuona ndege ya mwarabu ikitua Loliondo wakati wa Magufuli? kama uliona weka ushahidi wako hapa tuione logic yako, sio huo upuuzi wako unaita logic.
Simply unamaanisha Samia amekuja ku activate mkataba wa wizi uliokuwepo ili awanufaishe ndugu zake, hizi ndio logic.
Wewe ni mjinga ambae upo kwa ajili ya kutetea ujinga wowote unaofanywa na hii serikali iliyopo sasa, huu ni ukweli kukuhusu, unahangaika tu kuokoteza vimaneno visivyo na uzito wowote kutetea hoja zako nyepesi zilizojaa mahaba kwa yule umpendae, huna maana yoyote.
Moreover, thinking yako imepitwa na wakati, unaesubiri Rais aje mkristu ndio uanze kumpinga, ndio maana kwa hii akili yako mgango ukiona mwislamu mwenzako anapingwa hata kwa hoja, wewe unaona ni kwasabsbu ya dini yake, such a poor old fella!.
Rubbish.Hata kama ni Mmasai wa Kenya! Wanyama hawatoroshwi kwenda nje? Na hasa huko Uarabuni?
Thibitisha huo undugu wa Samia na waarabu, nyinyi munajisemea tu vitu ambavyo munasoma kwenye mitandao na kujifanya ndiyo mumekuwa na ithibati.Samia ana undugu na waarabu, hii ndio logic, na zaidi, huu ujinga umefufuka kwa nguvu baada ya Samia kuingia madarakani, hii pia ndio logic, tena hasa baada ya ile ziara yake Uarabuni, hizi ndio logic, sio mahaba yako unayaita logic.
Nawe ni miongoni mwa wazee mliopitwa na wakati, upo JF lakini hujui chochote, unajiokotea vimaneno kunijibu kama anavyofanya mzee mwenzio kumlinda ampendae!Thibitisha huo undugu wa Samia na waarabu, nyinyi munajisemea tu vitu ambavyo munasoma kwenye mitandao na kujifanya ndiyo mumekuwa na ithibati.
Tuambie huo undugu wake na waarabu uko kivipi? Maana sisi wengine tunamfahamu zamani sana lakini naona hivi karibuni ati mara kumekuwa na picha zinaonyesha yeye ana wajomba wa uarabuni, mara bibi mara nani sijui. Uongo mtupu ambao mumeukoleza chumvi ya chuki zenu.
wewe thibitisha wacha hizo fixi za maneno maneno yasiyokuwa na mpangoNawe ni miongoni mwa wazee mliopitwa na wakati, upo JF lakini hujui chochote, unajiokotea vimaneno kunijibu kama anavyofanya mzee mwenzio kumlinda ampendae!
Mbona sijaona ilipotua?Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
View attachment 2473424