Pole yetu sote.Mungu uilinde nchi hii.
Lakini utasubiri sana kudhani Mungu atailinda nchi.
Hata hao wanaotunyang'anya wao pia wanamtegemea Mungu huyo huyo awalindie nchi yao na washirika wao..
Acha tu tuwe kitoweo, labda siku moja tutafika mahali tukatae upumbavu huu.