Waarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwinyi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?Hivi issue za Lolindo, Serengeti kwa nini huwa zinaibuka sana wakati rais akitoea Zanzibar? Hata wale wapakistan walosafirisha wanyama ilikuwa kipindi cha JK. Sema JK siyo wa Znz ila ni mwenzetu.
By the way kwa nini hizi mambo wasifanye kwa ndugu zao wa znz au hata pwani?
johnthebaptist
Shamba kubwa mno hawawezi kulimaliza peke yao.Ndiyo awamu zao hizi, hivyo waache tu wavune.
Huoni kaandika kimakosa makusudi, mzee upo slow mno kubaini.Sasa mtu kama wewe hata kuandika lugha yako tu kwa ufasaha huwezi,utaweza kujadili vitu vinavyohitaji akili na maarifa ya utambuzi?
Huu muda unaoutumia kutapika hapa ni vizuri ukautumia kujifundisha kuandika lugha yako kwa ufasaha.
Team teteaWaarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwingi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....
Sio team tetea...team logic..Team tetea
You are on mission man, more power to you.Sio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....
Hiyo narration kuwa Samia anawapendelea waarabu ni ya kipumbavu sana ...kama waarabu hawafai mngemwambia Magufuli awatimue au Mkapa awatimue ..
Samia kawakuta hao wawekezaji WA kiarabu wapo kisheria ..
Na Samia akimaliza mda wake akija Rais mwingine mkristo hata midege itue 100 huko mbugani mtanyamaza kimyaa Kwa unafiki wenu
Mkuu kwani kwa kuwa waliofuata hawakuvunja mkataba inamaanisha mkataba ni halali?Waarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwingi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....
Mwinyi ni MznzWaarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwingi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....
Lakini Samia kawatimua wamasai pale LoliondoSio team tetea...team logic..
Ndege za wazungu mbugani hamlalamiki...
Ndege za wachina mbugani hamlalamiki huku inajulikana wachina ndo walanguzi wakubwa wa meno ya tembo duniani....
Nyinyi mko bize na ndege za waarabu Tu ...hata kama ni hisia tu kuwa wanakuja kubeba wanyama...ushahidi hakuna lakini mnashupaza mashingo ...na mapovu yanawatoka.....
Hiyo narration kuwa Samia anawapendelea waarabu ni ya kipumbavu sana ...kama waarabu hawafai mngemwambia Magufuli awatimue au Mkapa awatimue ..
Samia kawakuta hao wawekezaji WA kiarabu wapo kisheria ..
Na Samia akimaliza mda wake akija Rais mwingine mkristo hata midege itue 100 huko mbugani mtanyamaza kimyaa Kwa unafiki wenu
Mkuu kwani kwa kuwa waliofuata hawakuvunja mkataba inamaanisha mkataba ni halali?
Kama wote wanapewa bahasha kubwa na nzito!
Kumbuka wote ni ccm na ccm huwezi kuwaamini sana.
Kama unasema rushwa ni tatizo na inawezekana rushwa ndo inaleta tatizo lolote siwezi kukupinga since rushwa hutolewa Kwa Siri...Mkuu kwani kwa kuwa waliofuata hawakuvunja mkataba inamaanisha mkataba ni halali?
Kama wote wanapewa bahasha kubwa na nzito!
Kumbuka wote ni ccm na ccm huwezi kuwaamini sana.
Acheni kupandikiza uongo na kuichonganisha serikali yetu kwa Ajenda zenu za Siri, Sasa hapo hiyo ndege IPO wapi? Wanyama wanao bebwa wapo wapi? Ni ndege aina gani? Kutoka nchi gani? Kwa utambulisho wa kutoka shirika gani la ndege? Wanyama wapo wapi hapo? Mbona hatuonyeshwi hao wanyama? Mbona hatuonyeshwi wakipandishwa kwenye ndege? Mbona hatuonyeshwi ndege ikitua na kupaa?
Huu uongo unawasaidia Nini? Mnalengo gani na serikali yetu? Mnapata faida gani kuichafua serikali yetu? Mnamlenga Nani kumchafua? Kwa masilahi ya Nani? Nani anawdfadhiri huu upotoshaji?
Iacheni serikali yetu ifanye kazi za kututumikia watanzania ,hizi propaganda za kitoto hazitawafikisha popote pale na hamtaweza kuichonganisha serikali yetu na sisi wananchi
Na Mkapa ni mznz?Mwinyi ni Mznz
NimekuelewaKama unasema rushwa ni tatizo na inawezekana rushwa ndo inaleta tatizo lolote siwezi kukupinga since rushwa hutolewa Kwa Siri...
Mimi nnachopinga mtu kusema utawala huu wa Samia "umewaachia waarabu wafanye wanachotaka Kwa sababu labda Kwa kuwa Samia ni muislam"..wakati hawa waarabu wawekezaji wakikuwepo wakati wa Magufuli na kulikuwa hakuna makelele yeyote licha ya ndege zao kuendelea kutua huko Mbugani..
Kama kulikuwa na shida Magufuli alishindwa nini kuwatimua?..
Nnachopinga ni narrative kuwa kuwa a Muslim President kawaacha waarabu wafanye wanachotaka...
Kama narrative ni CCM wako corrupt..hii nayo si mpaka ithibitishwe..
Ka video kama haka kweli kanathibitisha nini?
Jibu maswali yangu kwa kuweka ushahidi hapa ili tumalize ubishiHuwezi kupata High Definition video ya ndege inashuka na kupandisha wanyama, pori tengefu ni kama misitu ya jeshi iliyotuzunguka nchi nzima, public access is off limit. Cameraman alifanya anachoweza katika mazingira yaliyomkabili.
"Iacheni serikali yetu itutumikie" ni mentality za Mtanzania wa pre-1990.. Muda umekuacha nyuma.
Enzi hizi wananchi wanachagizwa kujihusisha na majadiliano huru ya mambo yanayowahusu kama sehemu ya mchakato wa kidemokrasia.
Binafsi siamini kama watawala wa sasa wana uchungu na Tanganyika.
Nimekuelewa
Tupe tathmini yako kuhusu wamasai kuondolewa kimabavu kutoka Loliondo awamu hii.
PACTA SUNT SERVANDAWaarabu wa Loliondo wapo toka Rais ni Mwingi ..kama wangekuwa wanavunja sheria Mkapa alipoingia madarakani mbona hakuwatimua?
Why Magufuli nae hakuvunja mikataba na hawa sasa?..
Majungu ndo meengi kuliko uhalisia .....