Sikujua kama jamaa ni weupe hivi.Hawa Lebanoni ni shamba la bibi..mtu ana peleka ndege anavyo taka tena capital city
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikujua kama jamaa ni weupe hivi.Hawa Lebanoni ni shamba la bibi..mtu ana peleka ndege anavyo taka tena capital city
Si wote wanaweza kufanya hivyo.Bado Muisraeli anawafanya majirani zake ni wanasesere.Hawa Lebanoni ni shamba la bibi..mtu ana peleka ndege anavyo taka tena capital city
Nadhani anatafutwa Irani ajichanganyeIsraeli wana agenda yao.
Hizbullah kapeleka drone israel kapiga picha za video kambi za jeshi na kuzisambaza,hao israel washapata taarifa waume zao wamekubaliana na Iran wasianzishe mashambulizi,ndiyo wanajipitishaHawa Lebanoni ni shamba la bibi..mtu ana peleka ndege anavyo taka tena capital city
Hamna lolote nyie.Kama wanajiamini Wadondoshe hata ganda la ndizi waone vile Iran na Hezibollah watawafanya
Hizbullah mara ngapi kapeleka drone,piga picha kambi za jeshi na iron domes kisha kuzirusha tuone!...hapo israel anajua bwana zake usa washakubaliana na Iran kutoshambulia na vikwazo kutolewa,ndiyo wanajipitisha,wametoka mahandakiniSi wote wanaweza kufanya hivyo.Bado Muisraeli anawafanya majirani zake ni wanasesere.
Kupiga wapendwa ni kumfanya adui yako akasirike.Na,ukitaka adui aumie na kulia hadi kamasi jepesi limtoke,piga wapendwa wake kwanza.
Hawawezi kuwa wanatalii lazima wako kazini haoKwa mujibu wa mashuhuda hakuna shambulizi lolote lililofanywa na ndege hizo hadi muda huu. Bado hajulikani kama IDF wanafanya mazoezi au wanapiga mkwala au wanasaka magaidi
Ila hizi dini nyingine jamani!! Kikundi cha wahuni kinaleta maafa kwa nchi nzima!! Na hao ISRAELI ndio kiboko yao unaweka UGOKO ana shusha NONDO!!!Kama wanajiamini Wadondoshe hata ganda la ndizi waone vile Iran na Hezibollah watawafanya
Kwa hiyo ni ruksa kwa IDF kujivinjari ktk anga la Lebanon ila tahadhari wasidondoshe chochote?Kama wanajiamini Wadondoshe hata ganda la ndizi waone vile Iran na Hezibollah watawafanya
Wanalinda anga la Lebanon.Waache uoga.Kwa hiyo ni ruksa kwa IDF kujivinjari ktk anga la Lebanon ila tahadhari wasidondoshe chochote?
Siyo kutalii.Hawawezi kuwa wanatalii lazima wako kazini hao
Mnapigwa sound la kutisha usiku kucha lazima wananchi waoneshe uasi dhidi ya serikali dhaifu! Noma sana.Siyo kutalii.
Hiyo miungurumo ya radi(Sonic boom) huwa ni njia ya kuharass adui ajione dhalili na apanic.
Kama wana ant aircraft guns lazima wakurupuke kuanza kupiga. Mapigo hayo hayawezi kuzaa matunda kwa sababu ni ya kukurupuka.
TAIFA TEULE NI TAIFA TEULE TU. Sisi HUKU TANGANYIKA bado tunahangaika na vitambulisho vya NIDA na MAGARI ya kuzoa taka.
Lakini siipati picha. Kwani hao Hezbollah wako likizo? au na wao waliingiwa na kiwewe kwa sauti ya hizo ndege na wakajiunga na waliokuwa wanashangaa na kinachoendelea na kutimua mbio na makanzu yao? Si walisema eti hakuna nzi atakayekatiza katika anga lao? Sasa imekuwaje hapo.Mnapigwa sound la kutisha usiku kucha lazima wananchi waoneshe uasi dhidi ya serikali dhaifu! Noma sana.
Sipati picha wale wazee wa mabusha lazima waitahadharishe serikali yao kuhusu "jambo hili". Wanapata tabu sana just kwa sound tu kabla ya kitu chenyewe kushushwa!
Mbona hiyo ndo kawaida yao kukurupuka?Siyo kutalii.
Hiyo miungurumo ya radi(Sonic boom) huwa ni njia ya kuharass adui ajione dhalili na apanic.
Kama wana ant aircraft guns lazima wakurupuke kuanza kupiga. Mapigo hayo hayawezi kuzaa matunda kwa sababu ni ya kukurupuka.
Nakazia hoja. Tena inakuwa ni Nondo ya uhakika na sio ya kubahatisha.Ila hizi dini nyingine jamani!! Kikundi cha wahuni kinaleta maafa kwa nchi nzima!! Na hao ISRAELI ndio kiboko yao unaweka UGOKO ana shusha NONDO!!!