Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona

Ni kweli watanunua Mexico, Uganda, Zambia na Mozambique.
 
China ndiko maambukizi yameanza....na imeruhusiwa
 
Mi Hata nashangaa a kwa nini tunahangaikaga na wakenya yaani the way tunavyo behave utafikiri wakenya ni waume zetu wa ndoa halafu anataka kutuacha sasa kwa kuwa wewe mke bado unampenda mme basi unatafuta kila sababu au kosa ili uonekane tu.
Yaani sisi tumebarikiwa majirani wazuri na wengi tu lakini wakenya ndio wanatukosesha usingizi tujipange kufanya biashara na kuwa na strategies ya kupata soko kusini Mwa Afrika na eastern Congo w
 
Hakuna Shaka. Kila mmoja acheze mechi zake. Nasi tutapiga marufuku Ndge yoyote iliyokanyaga ardhi ya Kenya isitue kwetu. Mtalii/Msafiri yeyote anayetamani kufika kwetu asipitie Kenya.
 
Partiner airlines zinakuja hapa! KQ na hizo wanagawiana wasafiri! Ikija BA, kwanini asiwakaie tiketi?
KQ wametangaza kuanza safari za nje, na moja ya nchi wanakokwenda ni Tanzania, yaani Kilimanjaro, Dar, Zanzibar; pamoja na kwamba Waziri Macharia hakuihusisha Tanzania katika nchi zinazoruhusiwa.
How does that still make sense?
 
mkuu samahani hii mambo ya kusema kenya ndugu zetu inanikera kweli, hawa ni jirani tu ambao wanaweza kuwa adui zetu vilevile kama ambavyo imewahi kutokea kwa uganda.
Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu.

Watu wanatumia maneno bila ya kuwazia matumizi yake sahihi.
 
Ndiyo maana sijaona faida ya EAC.wivu was kike utawaua hawa.ngoja corona iwachakaze
Hebu tueleze kidogo kwa nini corona inawachakaza wao lakini sisi imepoa!

Au ni kwa sababu ya yale maombi kama tulivyohimizwa?

Hili ni swali makini, usilipuuze mkuu 'ZALENDA'.
 
Mataifa makubwa yanaitumia Kenya ukanda wa E.A
 
Sisi hatuna tatizo kenya ni ndugu zetu wana hasira zikitulia watatambua ukweli na hatuna mpango wa kuwazuia!
Eti ndugu zenu! Damn, you are DISGUSTING!

Hakuna undugu hapo, changamka!

Mmelala lala tu ati ndugu zetu! Hiiiiiiiiiii.....

Biashara za kikanda zenye hujuma zinajibiwa kwa retaliation. Sio kulala tu na kutia tia huruma!
 
Hata wakoma wakati wa kale walikuwa wanjitenga wenyewe tena ukiwakaribia na hujawaona walikuwa wankupigia kelele wakisema sisi ni Najisi

Kwahiyo Kenya iko sahihi kupiga kelele za Unajisi
 
Je, unapata Kila siku taarufa za ukimwi, home ya ini, malaria na kadhalika? Why only Corona?! Na hizo takwimu zikitolewa zitapunguza hiyo Corona?!
 
Hta wale 500 tuliosema wanumwa bado hatujasema kama wamepona .Haaaaaaa
 
Kwahiyo wao ndio wanakaribishwa? Ni kujisahau tu na mambo ya wanasiasa. We either fall apart or grow together. Ngoja tuone nani atakayepoteza
Nasikia tumeishajibu. Kuanzia kesho, Ndege kutoka Kenya marufuku kukanyaga KIA, JNIA wala Zanzibar. Na kama tumewajibu kweli namna hii akili zitawakaa wakenya. Hata hivyo, sifurahii mgogoro na nchi jirani, lakini jirani kama hajielewi hakuna namna ni kumsurubu tu kwa namna tunayoweza.
===
Chakusikitisha mleta mada kaona ni kosa letu Watanzania kwa uamuzi uliofanywa na serikali ya Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…