Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona


Halafu na wewe uondoe "upumbavu" wako wa kuandika insha ndefu kwa herufi kubwa zote from A to Z...

Sijui shuleni ulienda kusomea upumbavu?
 

Hii Serikali ya Magufuli inafikiri watu wote ni wapuuzi kama alivo Jiwe na
Wakenya sio wapuuzi kama Watz!!!

Kila siku tunasikia kwenye Matangazo ya media zetu( TV, Radio na Magazeti):kwamba CORONA IPO NA INAUA WATZ WACHUKUE TAHADHARI! Lakini hapohapo Jiwe akisimama majukwaani anasema Tanzania Corona imekwisha!!!HII NU KUWAFANYA WATU HAWANA AKILI.

Kuna Maagizo toka juu yanaelekeza RMOs na Hospitali zote kutotoa taarifa ya wagonjwa wa Covid-19 na RMO yeyote ajijichanganya tu HANA KAZI......!!
Mpaka Sasa hakyna taarifa zozote za Covid-19 Tanzania na mtu akifa na Covid-19 wanataja ugonjwa mwingine wowote...!!!Huku Ni kujidanganya na kudanganyika!!
Wakenya wameshtuka!
 
Halafu na wewe uondoe "upumbavu" wako wa kuandika insha ndefu kwa herufi kubwa zote from A to Z...

Sijui shuleni ulienda kusomea upumbavu?
Nimeondoa 'Upumvbavu wako' mkuu.Samahani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…