Ndege zisizo na rubani za Ukraine zashambulia meli za Urusi

Ndege zisizo na rubani za Ukraine zashambulia meli za Urusi

Na huu ni mwanzo tu, maeneo yote yalotekwa yatakombolewa, mpaka Crimea ipo siku moto utawaka pale.

Kherson mpaka sasa zaidi ya 80% Ukraine inakaribia kuikombia.
Ebu tupe ushaidi hata kutoka bbc ukisema Ukraine imekomboa khersan kwa asilimia 80 mkuu
 
Back
Top Bottom