Ndemla kupewa gari na kiongozi kutaivuruga timu

Ndemla kupewa gari na kiongozi kutaivuruga timu

Pg.24b.JPG

Wachezaji Haji Mwinyi (kushoto) na Juma Mahadhi wakipatana bei na waendesha bodaboda wakati walipowasili katika bandari ya Dar es Salaam

Ndemla%2BBreaking%2BNews.jpg


Mohamed-Hussein-Tshabalala-Gari-Jipya-Simba-Bongosoka.jpg


TANZANI+ONE+BLOG+NGASSA.JPG
alipaswa kuingia kwenye boti na usafiri wake akishuka anapanda kwenda zake nyumbani?
 
Alipopewa hivyo hivyo Gari Beki wetu mahiri Mohamed Hussein Tshabalala ' Zimbwe Jr ' kuliivuruga Timu? Siku nyingine jitahidi kutumia akili zako zote ulizopewa na Mwenyezi Mungu kufikiri na kujua kujenga hoja. Basi kwa taarifa yako tu technically na psychologically hiyo hatua ya Wachezaji kupewa Zawadi za Magari kila mara ndiyo itaongeza chachu maradufu kwa Wachezaji na ushindani ambapo kila Mtu atataka kuonyesha Kiwango ili nae apewe Gari lakini pia hapo hapo anakuwa anaisaidia Timu katika kupata ushindi Uwanjani.

Hivi Ofisini Kwako Bosi wako akiamua kukupa Wewe Zawadi na Wenzako wakijua huwa wanaumia au na Wao sasa wanaongeza bidii na ufanisi Kiutendaji ili na Wao wakati ujao Bosi awaone na awape / awatunuku hizo Zawadi? Hivi zile Zawadi ambazo tulikuwa tukipewa Mashuleni na Walimu mbele za School Baraza kwa Ufaulu mzuri ulikuwa unawavunja moyo Wanafunzi wengine au ndiyo Kwanza ulikuwa unawapa ' Usongo ' na Wao kusoma kwa bidii ili muhula ujao nao Wafaulu wapewe Zawadi na pia waipe Sifa Shule kwa Kufaulisha vyema Wanafunzi wake?

Hoja yako ni ' Mfu ' mno na haifai kuwepo katika ' Himaya ' iliyotukuka na ' Magreti Thinka ' wa JamiiForums.
Aaah, mkuu uwe na kiasi. Hizo zawadi unazotolea mfano zimewekewa utaratibu na vigezo vya wazi (observable) ili kuzipata, yaani ukiwa wa kwanza darasani, ukipata 'A', kuwahi shuleni, n.k, hivyo atakaye kuwa wa kwanza darasani akipewa hiyo zawadi itakuwa hakuna ubishi hata kwa wanafunzi wenzake. Sasa hebu wewe niambie, Ndemla anapewa gari na Hanspope kwa kufanya nini? kupiga chenga? kutoa pasi? kusababisha magoli? kuchelewa kuingizwa uwanjani? kurubuniwa ili asiondoke? au nini alichofanya kizuri kuwazidi wachezaji wenzake woote mule uwanjani? mtoa zawadi lazima afafanue kile alichokifanya Ndemla ili mchezaji mwingine akikirudia kile alichokifanya Ndemla nae aipate hiyo zawadi, asiwe subjective.
 
Katika mchezo unaohusisha watu wengi kuufanikisha huwezi kutoa zawadi kwa mchezaji mmoja pekee. Kitendo hicho kinaweza kutendwa na watu binafsi au taasisi nyingine lakini sio kiongozi wa timu. Kiongozi wa aina hii anawagawa na kuwavunja moyo wachezaji wengine kijiiinga kabisa.

Ndemla kacheza na kupeana pasi na wenzake kwanini kiongozi ampe mchezaji mmoja zawadi ya gari na kuwaacha wengine wote hata akina Kichuya waliofunga magoli?
Mohamed Zimbwe Hussein mwaka jana alipewa gari na Pop mbona hakuvuruga timu
 
Kichuya usiwe na wasi wasi utapata tu gari lako huyu mtoto Ndemla kuvumilia sana hapo simba acha na yeye apate bhana
Na huu utaratibu wa Hans Pope kutoa zawadi hajaanza leo na haijawahi team kugawanywa kama unavyo taka kuaminisha watu
Ndemla kupata gari haki yake
kumbe ndiyo maana wanaukosa ubingwa misimu 4 sasa
 
Mohamed Zimbwe Hussein mwaka jana alipewa gari na Pop mbona hakuvuruga timu
ndio maana timu ilikuwa ikiongoza ligi kwa point 8 lakini wakaukosa ubingwa kwa upuuzi kama huyo unaousema.
 
Mapenzi mabaya sana kuna impact kubwa sana lazima itokee kama:
Ubinafsi
Chuki
Umoja kat ya wachezaji utapungua
 
Aaah, mkuu uwe na kiasi. Hizo zawadi unazotolea mfano zimewekewa utaratibu na vigezo vya wazi (observable) ili kuzipata, yaani ukiwa wa kwanza darasani, ukipata 'A', kuwahi shuleni, n.k, hivyo atakaye kuwa wa kwanza darasani akipewa hiyo zawadi itakuwa hakuna ubishi hata kwa wanafunzi wenzake. Sasa hebu wewe niambie, Ndemla anapewa gari na Hanspope kwa kufanya nini? kupiga chenga? kutoa pasi? kusababisha magoli? kuchelewa kuingizwa uwanjani? kurubuniwa ili asiondoke? au nini alichofanya kizuri kuwazidi wachezaji wenzake woote mule uwanjani? mtoa zawadi lazima afafanue kile alichokifanya Ndemla ili mchezaji mwingine akikirudia kile alichokifanya Ndemla nae aipate hiyo zawadi, asiwe subjective.

Na Mimi pia nina Zawadi yangu na ' Muhogo ' nataka nikupe kwa kuwa mmoja wa Wachangiaji wa Kutukuka hapa Jamvini je upo tayari nikutunuku / nikuzawadie?
 
Msuva akiwa Yanga alipewa debe la Mchele na Mashabiki

Niyonzima hivo hivo...


Ajibu juzi kati baada ya game na Mji ...kagera na Stand mashabiki walijichanga wakampa milion moja..

Kipa naye Youth alipata pesa kwa mashabiki mbona haikuharibu timu??
 
Msuva akiwa Yanga alipewa debe la Mchele na Mashabiki

Niyonzima hivo hivo...


Ajibu juzi kati baada ya game na Mji ...kagera na Stand mashabiki walijichanga wakampa milion moja..

Kipa naye Youth alipata pesa kwa mashabiki mbona haikuharibu timu??
Roho inauma team yetu tukitoa motisha ila wao wakifanya sio tatizo
Nilichogundua huyu kavulata sio mzima kabisa kichwani mfano kibao haoni kakomaa na ujinga wake
Kama anafatilia mpira ishu ya Neymar na Cavan pale PSG ilimalizwa kwa motisha kwa Cavan tu sio team nzima leo PSG ipo wapi
 
... Walioleta furaha ya wazi kwenye mechi ile ya Simba na Singida ni Kichuya aliyejipinda dakika ya 3 tu ya mchezo na kufunga bao safi kabisa, akifuatiwa na Okwi na Kwasi, kila mtu alishangalia kwa raha hata yule asiyekuweko uwanjani. Mfano, kama Ndemla angecheza vizuri kama alivyoona kiongozi wake wa Simba lakini Simba ikafungwa au kutoa sare na Singida bado hiyo zawadi ya gari angepewa Ndemla? Ni ujiinga tu. Mbona Mapinduzi cup hakutoa zawadi, hakuna mchezaji aliyecheza vizuri mechi zote zile?

Mkuu, isikusumbue. Hiyo zawadi si kwa sababu ya mechi ya jana pekee, Hanspope aliwaambia wachezaji wote siku za nyuma kuwa atakayecheza vizuri kwa nidhamu nitampa zawadi. Amesema wazi kuwa Ndemla amekuwa akitokea benchi lakini anacheza kwa nidhamu kila akipewa nafasi. Pia amesema jana ilikuwa ni hitimisho la ufuatiliaji wake wa mechi kadhaa
 
Mkuu, isikusumbue. Hiyo zawadi si kwa sababu ya mechi ya jana pekee, Hanspope aliwaambia wachezaji wote siku za nyuma kuwa atakayecheza vizuri kwa nidhamu nitampa zawadi. Amesema wazi kuwa Ndemla amekuwa akitokea benchi lakini anacheza kwa nidhamu kila akipewa nafasi. Pia amesema jana ilikuwa ni hitimisho la ufuatiliaji wake wa mechi kadhaa
Chukua balimi nakuja lipa
 
kucheza kwa "nidhamu" ni kucheza namna gani: kutopewa kadi? kutokuzozana na refa? kutokupoteza pasi? kukubali kuingizwa dakika za mwisho bila kukasirika? au kufanya nini ndio kucheza kwa nidhamu? acheni hizo!!
 
Back
Top Bottom